Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso

Habarini Wana Jf

Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso zisizoisha ametumia lotion nyingi bila mafanikio naomba mnishauri atumie nini?
Mwambie achanganye udongo na Alovera pori ama kama anaweza kupaka alovera yale majimaji yake itakwisha. Ikishindikanika mwanbie achukue unga wa dengu ajipake nao yaani ajisilipe uso mzima kama ataweza alale nayo mpaka asubuhi.
 
Mimi kuna manzi nlikuwa namfukuzia ile mwanzoni tu akanipiga vizinga kidogo half akaniambia nimnunulie dawa ya vipele usoni inaitwa Eskinol

Akatumia ikamsaidia kabisa
 
Mimi kuna manzi nlikuwa namfukuzia ile mwanzoni tu akanipiga vizinga kidogo half akaniambia nimnunulie dawa ya vipele usoni inaitwa Eskinol

Akatumia ikamsaidia kabisa
Eskinol ni facial cleanser..
Baadhi ya Cleanser zinasaidia kupunguza ama kumaliza tatizo. Ila sii kusema ni dawa, kuna chunusi ni sugu wewe 😀
 
Vipi kaka... nataka kujua, baada ya kuapply hayo mafuta ma kunawa uso baada ya hayo masaa, je naruhusiwa kupaka mafuta mengine au naacha tu hivyo hivyo bila kupaka mafuta yoyote?
 
Vipi kaka... nataka kujua, baada ya kuapply hayo mafuta ma kunawa uso baada ya hayo masaa, je naruhusiwa kupaka mafuta mengine au naacha tu hivyo hivyo bila kupaka mafuta yoyote?
Unaweza kupakaa hakikisha hayana viambatana sumu au kemikali hasi.
 
Bro wangu alikuwa anampaka shem manii alisema ilkuwa inamsaidia
 
Mkuu asante sana, napata wapi sulphur powder?
 
Mwambie aache kutumia hizo lotion anazotumia na aanze kutumia mafuta ya nazi.

Pili, Sabuni za kuogea anayotumia. Ikiwezekana asiwe anapaka sabuni usoni
 
Aende tu hospitali akakutane na wataalamu. Hizi tiba za kuunga unga huku mitandaoni sio salama kabisa, mkeo anaweza kuharibu sura bure na usiweze kurekebishika.
 
Atumie lotion ya coco pulp...awe anapaka usiku tu, day time awe anapaka mafuta ya nazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…