kama mjamzito ni kawaida kama daktari walivyokushauriWadau nisaidieni.
Mke wangu anauja uzito wa miezi miwili hivi.
Anatapika kila mara na anasikia maumivu makali ya mgongo/kiuno.
Nilienda hospital nikakutana na daktari kanambia niuanche tu atulie nyumbani atakuwa sawa, ni ziaid ya mwezi sasa.
Nifanyeje ili atulie?
Wajuvi wa mambo please.
Jaribu Hosptl ingineWadau nisaidieni.
Mke wangu anauja uzito wa miezi miwili hivi.
Anatapika kila mara na anasikia maumivu makali ya mgongo/kiuno.
Nilienda hospital nikakutana na daktari kanambia niuanche tu atulie nyumbani atakuwa sawa, ni ziaid ya mwezi sasa.
Nifanyeje ili atulie?
Wajuvi wa mambo please.
Wadau nisaidieni,
Mke wangu anaujauzito wa miezi miwili hivi.Anatapika kila mara na anasikia maumivu makali ya mgongo/kiuno.
Nilienda hospital nikakutana na daktari kanambia niuanche tu atulie nyumbani atakuwa sawa, ni ziaidi ya mwezi sasa.
Nifanyeje ili atulie?
Wajuvi wa mambo please.
Nashukuru kwa ushauri wako mkuuMwambie mama avute subira hiyo hali ya kawaida kwa akina mama hasa kma ujauzito ni mara ya kwanza na mimba ni changa hali hiyo inaweza kuchukua miezi miwili hadi mitatu, lkn hali ikiwa mbaya zaidi usisite kumuona Daktari
Tahadhali; usithubutu kumpa dawa yeyote bila ushauri wa daktari
Jaribu kuulizia Dynapharm ipo wapi watakiusaidia.Asante, ila sentensi ya pili sijaelewa kabsa
Rubii kumbe na wewe ushajifungua? nilikua nakupenda sana, kumbe na wewe umeshafanya tabia mbaya? lahaulaaaahHata mimi ilikuaga hivyo hivyo apumzike tu hali itaisha tu kwa wakati wake