hujamfikisha kileleni huyo shemeji yetu. Hapo ndo kila kitu mkuu, wife aliwahi zusha ugomvi ambao hata sikujua umeanzia wapi, ilinikera sana lkn nikasema i have nothing to loose sikutaka kukasirika na najua wanawake wanapenda sana kubembelezwa na kunyenyekewa, nilipotoka job nikasema leo wife naenda kumshangaza. Nilipofika home nikaingia na salaam kuubwa my luuuuuuv upo wapi nikamkuta room, nikampa busu kuubwa akaguna eti sitaki busu la malaya, nikamwambia lzm niwe malaya chumbani kwetu. Bd kanuna hapo nenda kwa hao hao malaya zako, nikamwambia fine niite majina yote leo lkn i just cant stop loving you nikapiga magoti nikamwambia nisamehe kwa kukupenda sana labda unaona kero, akashangaa wewe unanipenda mie, nikamjibu nipe nafasi uone wakati huo nishamkumbatia nimekamata kiuno nikaona pumzi zinapanda, kilichotokea hapo ni kupada mlima kilimanjaro kwa bidii sana wskati yeye anakaribia akasema mume wangu nakupenda sana na wewe unanipenda nikamtaja jina halafu nikamwambia nakupenda sana, lahaulaaa nikaona mtu ananikumbatia wa nguvu zote akimaliza mchezo. Baada ya hapo akaniambia alikwenda saluni flani walipogundua kwamba kaolewa na mngoni wakamwambia umeliwa mmeo lzm ana mipango ya kando kibao ndo yaye akanuna. Sasa ndugu yangu ndani ya ndoa kuwa mwangalifu sana na feelings za mkeo, usipende ku ignore hasa anaponuna, mnuno ni kitu kinasemwa hapo km si mjanja mtaishia kugombana kila siku.usimwonee aibu mkeo mmdadisi kila unapoweza taratibu kimahaba, ukimsifia. Amini usiamini utajenga ukaribu mkubwa sana na mkeo. Ndoa si lelemama ndugu yangu au jaribu kumletea zawadi ya kitu anachokipenda.nawasilisha