Mke wangu hajawahi kuniambia ananipenda


lukolo dear, huyu jamaa natamani ningeweza kumuwekea kale kawimbo ' we nidanganye danganye danganye tuuu ...... "
 
muhanga unapenda sana ndogo ndogo?

duh T ulijuaje? duh give me five man!! yaani mie ndogo tu kubwa mwiko.... hayo makubwa kubwa yoote tulicheza wote mbinu zetu zile zile... kwa hiyo nimegundua kwenye ndogondogo kuna mabadiliko najifunza mambo mapyaaa!
 
kaka mi naona labda mapenzi yako yako shallow sana...jaribu kumpa 'vitu adimu' uone kama hatapagawa na kukutamkia 'nakupenda mume wangu..' hadi ukashangaa.....so kaka jaribu kuwa romantic sana mpe mambo mazito atapagawa na utafurahi sana! jaribu tafadhali...
 
Yaani Mtu anafikiri kuwa kila kitu kinachonenwa katika JF kuwa ni sawa au uko sahihi kumbe watu wenyewe ni waongo/ wanafiki maana wengi wanatumia majina yasiyo yao kweli unaweza kuwaamini kweli!! Hapa ni kuwa kama zmbayuwayu tu unachanganya na zako ndo utafanikiwa. Kwenye Neno la Mungu linasema Enyi wanaume wapendeni wake zenu na kuishi nao kwa akili..... sasa ndugu yangu wewe akili zako ziko wapi...... Onyesha ukomavu kwa kumpenda mkeo kwa maneno na vitendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…