Mke wangu hataki niajiri housegirl nifanyeje?

Mke wangu hataki niajiri housegirl nifanyeje?

Nguva Jike

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2018
Posts
1,226
Reaction score
1,757
Habari za jioni.

Direct kwenye mada.Mke wangu dhahiri kabisa namuona anazidiwa na kazi za ndani huku akiwa na mtoto mmoja.

Nikapata wazo nimtafutie msaidizi wa ndani ili kumpunguzia kazi uwezo wa kumlipa ninao.Tatizo hataki kabisa kusikia suala hilo.

Kazi zinavyomzidi anashindwa hata kunihudumia mimi mambo ya faragha.Siku hizi hata raha sipati na kutoka nje naumia roho kufanya hivyo.

Maoni yenu please.
 
Habari za jioni.

Direct kwenye mada.Mke wangu dhahiri kabisa namuona anazidiwa na kazi za ndani huku akiwa na mtoto mmoja.

Nikapata wazo nimtafutie msaidizi wa ndani ili kumpunguzia kazi uwezo wa kumlipa ninao.Tatizo hataki kabisa kusikia suala hilo.

Kazi zinavyomzidi anashindwa hata kunihudumia mimi mambo ya faragha.Siku hizi hata raha sipati na kutoka nje naumia roho kufanya hivyo.

Maoni yenu please.
Mpelekee houseboi
 
Bora alivyobusy hivyo,ukimletea msaidizi huo muda atakaokuwa huru ataenda kumwagiwa nje..
 
Habari za jioni.

Direct kwenye mada.Mke wangu dhahiri kabisa namuona anazidiwa na kazi za ndani huku akiwa na mtoto mmoja.

Nikapata wazo nimtafutie msaidizi wa ndani ili kumpunguzia kazi uwezo wa kumlipa ninao.Tatizo hataki kabisa kusikia suala hilo.

Kazi zinavyomzidi anashindwa hata kunihudumia mimi mambo ya faragha.Siku hizi hata raha sipati na kutoka nje naumia roho kufanya hivyo.

Maoni yenu please.
Kuna kitu kinaitwa reducing and redistributing unpaid care work. Fanya baadhi ya kazi kumounguzia mzifo my wife mke wangu atapumua! Halafu mwamba wewe ni mwanaume gani unatafuta house girl? Hilo ni jukumu lako kweli? Au wanaume wa siku hizi mmekuwaje? My wife mke wangu yuko sahihi maana anaona ameingiliwa majukumu!
 
Ungejua kuwa wanawake usiwathubutu kuwaambia tafuta mwanamke aje asaidie kazi basi usingethubutu kuufungua mdomo wako

Ni wajibu wake kukuomba aajiri kuliko wewe kumuambia
Usirudie kosa maishani na wengine mjue hili
Majukumu ya nyumbani ni mama mwenye nyumba wewe ni kutafuta tu
Kama unamsaidia kazidiwa na kazi sawa ila sio kumpa ushauri wa msaidizi
 
Habari za jioni.

Direct kwenye mada.Mke wangu dhahiri kabisa namuona anazidiwa na kazi za ndani huku akiwa na mtoto mmoja.

Nikapata wazo nimtafutie msaidizi wa ndani ili kumpunguzia kazi uwezo wa kumlipa ninao.Tatizo hataki kabisa kusikia suala hilo.

Kazi zinavyomzidi anashindwa hata kunihudumia mimi mambo ya faragha.Siku hizi hata raha sipati na kutoka nje naumia roho kufanya hivyo.

Maoni yenu please.
ukiona hivo, basi ujue wewe ndo mwenye tatizo, na mkeo analifahamu na ndio mana hataki. Wewe ndio shida, either skirt haikupiti, or uko very handsome na hua unajifanya unahuruma in everything, hivo kwa mwanamke wewe ni dhaifu sana, ukishawishiwa na hisia you can do anything.
i advise you as your mother/sister, tafuta huo udhaifu wako uujue, then ujue jinsi ya kujicontrol. Uwe na sku njema kijana.
 
Ungejua kuwa wanawake usiwathubutu kuwaambia tafuta mwanamke aje asaidie kazi basi usingethubutu kuufungua mdomo wako

Ni wajibu wake kukuomba aajiri kuliko wewe kumuambia
Usirudie kosa maishani na wengine mjue hili
Majukumu ya nyumbani ni mama mwenye nyumba wewe ni kutafuta tu
Kama unamsaidia kazidiwa na kazi sawa ila sio kumpa ushauri wa msaidizi
exactly, asurudie tena, wanawake tunajijua, tutaanza kuhusi hivi ananichukuliaje hadi aniletee housegirl? kwamba me ni mvivu au mchafu? au anataka aniletee mke mwenzangu? aah hata me nagoma, japo namuhitaji[emoji1]
 
exactly, asurudie tena, wanawake tunajijua, tutaanza kuhusi hivi ananichukuliaje hadi aniletee housegirl? kwamba me ni mvivu au mchafu? au anataka aniletee mke mwenzangu? aah hata me nagoma, japo namuhitaji[emoji1]
Wahenga tunalijua hili
Hawa wanahitaji kufundishwa
 
Habari za jioni.

Direct kwenye mada.Mke wangu dhahiri kabisa namuona anazidiwa na kazi za ndani huku akiwa na mtoto mmoja.

Nikapata wazo nimtafutie msaidizi wa ndani ili kumpunguzia kazi uwezo wa kumlipa ninao.Tatizo hataki kabisa kusikia suala hilo.

Kazi zinavyomzidi anashindwa hata kunihudumia mimi mambo ya faragha.Siku hizi hata raha sipati na kutoka nje naumia roho kufanya hivyo.

Maoni yenu please.
Itakuwa kuna nyumba waliweka msichana halafu ikaleta tabu ndio anaogopa. Maana mara nyingi tumeona wasichana wanaharibu ndoa za watu, wengine wanatesa watoto, wengine wanachinja watoto kama ile iliripotiwa miezi michache iliyopita na kadhalika. Yawezekana ana hofu juu ya mambo kama hayo....japo wasichama wema pia wapo.
Sasa wewe ongea naye kwa upendo ujue kwa nini hataki. Kutokea hapo utajua pa kuanzia
Nje ya mada...ndoa yenu ina umri gani?
 
Ungejua kuwa wanawake usiwathubutu kuwaambia tafuta mwanamke aje asaidie kazi basi usingethubutu kuufungua mdomo wako

Ni wajibu wake kukuomba aajiri kuliko wewe kumuambia
Usirudie kosa maishani na wengine mjue hili
Majukumu ya nyumbani ni mama mwenye nyumba wewe ni kutafuta tu
Kama unamsaidia kazidiwa na kazi sawa ila sio kumpa ushauri wa msaidizi
Vijana wa siku hizi hawa wa haki sawa wanajipa majukumu ya wanawake
 
Vijana wa siku hizi hawa wa haki sawa wanajipa majukumu ya wanawake
Utakuta wengi wao wake ndio wanawahudumia na hata kama anatoa mchango basi anapangiwa pia
Majukumu yasio yao wanajibebesha
Sababu ni moja tu wameacha kusikiliza wazee na hata kama wameenda mijini wakienda kutembea kwao hawana mda wa kuuliza maswali ya maisha
Na ndio maana ndoa zinakufa na wengine kukataa kabisa kuoa kwa sababu anajiona kutembea na wanawake 50 ni furaha kwake na kuwaona wote sawa
Wengi hawajui sababu kubwa ya watoto kuharibika ni wao wanaowatongoza
 
Back
Top Bottom