sio lazima aseme biblia sio erick shigongo,you,have to read and compute at holy side of the page but not read read like a magazine the bible makes you think big and praise the holy not spoonfeeding and argue jf
umetetea nini hapo!!!!!!!!!!!
Sijaona mahali Mungu amesema kuwa mwanamke sio mtu
Sijaona mahali ambapo Mungu amesema kuwa mwanamke hana akili!
Umeandika lugha gani hii dogo?
Kiswahili kinakushinda Kiingereza ndio utakiweza?
unajaribu tu kutaka kuwaonyesha wanawake wa jf kua ww sio mbaguzi wa kijinsia. Sawa hakuna palipoandika mwanamke sio mtu,biblia inasema Mungu alimuumba "mtu mwanaume",,sasa wewe niambie wapi pameandika Mungu alimuumba "mtu mwanamke" kama hakuna ina maana Mungu hakuumba kitu kinaitwa "mtu mwanamke" kwa hiyo mwanamke sio mtu
bila kutafta sifa huo ndio ukweli wala hakuna tafsiri tofauti na hiyo. Tuyaachie hapo.
sijatetea nimekujibu we dhaifu
Usipende kuokota wanawake barabarani...
Wapi kasema kamuoa?!
hilo nalo swali la msingi kama si la sekondari, la kufanyiwa utafitiUna uhakika ni mwanano?
sijasema nimeandika,Aliesema mwanamke dhaifu nae f.a.la tu kama m.a.fal.a wengine
Kheeeeeeeee
Una ushahidi wa hili?unajaribu tu kutaka kuwaonyesha wanawake wa jf kua ww sio mbaguzi wa kijinsia.
Una matatizo weweSawa hakuna palipoandika mwanamke sio mtu,biblia inasema Mungu alimuumba "mtu mwanaume",,sasa wewe niambie wapi pameandika Mungu alimuumba "mtu mwanamke" kama hakuna ina maana Mungu hakuumba kitu kinaitwa "mtu mwanamke" kwa hiyo mwanamke sio mtu
Anaetafuta sifa ni nani sasa?bila kutafta sifa huo ndio ukweli wala hakuna tafsiri tofauti na hiyo. Tuyaachie hapo.
hapo mwanzo Mungu akasema na tumuumbe mtu,wakamuumba adam,mwanamke sio mtu,sio yeye alieumbwa na Mungu,,pili Biblia inasema ishini na wanawake kwa akili,ikimaanisha wanawake hawana akili(hayo ni maneno ya Biblia,sio yangu)
mwanamke angekua mdhaifu asingeweza mdanganya adam akala tunda alilokatazwa na baba yake. upo?sijasema nimeandika,
---f-ala sio mtu kama mimi anayeandika mwanamke ni dhaifu kwa defintion.
Ni kweli tena dhaifu kweli kweli
Nini ni kiswahili?umejuaje ni kiswahili?,
Kuandika kwa ufasahautaweza kukifanyia nini?
Mada inazungumza kuwa mwanamke sio mtu au inazungumza mwanamke aliyeondoka kutoka kwa mazazi mwenzie?:mbona unakwepa mada SIO MTU NA HATAKUWA MILELE.
Una ushahidi wa hili?
Kwanini wawe wanawake wa JF na sio mahali pengine?
Ni kwanini umefikiria hili ni suala la wana wake na sio la kibinadamu?
Una matatizo wewe
KUtokuwepo mahali ambapo Mungu amesema kuwa mwanamke ni mtu haina maana kuwa mwanamke sio mtu
Usichanganye hayo mambo mawili
Lakini hiyo haimaanishi kuwa hakuna mahali ambapo Mungu amesema mwanamke ni mtu
Mwanzo 1:27 inasema
27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Hapo Mungu anasema kuwa wote aliwaumba kwa mfano wake,kama mwanamke aliumbwa kwa mfano wa Mungu na mwanaume nae hivyo hivyo watakuwaje na tofauti za hovyo unazotaka kuzileta?
Pia tazama mstari huu
Mwanzo 2:18
18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mungu anasema hapo kuwa anamfanyizia Adam msaidizi wa kufanana nae
Unajua maana ya kufanana wewe?
Anaetafuta sifa ni nani sasa?
Kama kitu hukijui ni bora ukakaa kimya tu!