kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Mambo vipi wakubwa.
Ebana tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie wakawa wanakunywa soda.
Basi me nikaenda kutoa lock pale kwa ile bar,mara ghafla yule mhudumu nae akaanza kucheza mziki huku ananikatikia kwa mbele.
Wife aliona tukio zima na kulirecord.
Ebana leo kanipa file langu lote nimejiona mjinga.
Kesi kama hii inasolviwaje?
Ebana tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie wakawa wanakunywa soda.
Basi me nikaenda kutoa lock pale kwa ile bar,mara ghafla yule mhudumu nae akaanza kucheza mziki huku ananikatikia kwa mbele.
Wife aliona tukio zima na kulirecord.
Ebana leo kanipa file langu lote nimejiona mjinga.
Kesi kama hii inasolviwaje?