Isingizie pombe kila kitu.Mambo vipi wakubwa.
Ebanani tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie.
Basi me nikaenda kutoa lock pale kwa ile bar,mara ghafla yule mhudumu nae akaanza kucheza mziki hiku anaikatikia kwa mbele.
Wife aliona tukio zima na kulirecord.
Ebana leo kanipa file langu lote nimejiona mjinga.
Kesi kama hii inasolviwaje?