Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
Mwambie bahati mbaya halafu sio akili Yako mwambieMambo vipi wakubwa.
Ebanani tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie.
Basi me nikaenda kutoa lock pale kwa ile bar,mara ghafla yule mhudumu nae akaanza kucheza mziki hiku anaikatikia kwa mbele.
Wife aliona tukio zima na kulirecord.
Ebana leo kanipa file langu lote nimejiona mjinga.
Kesi kama hii inasolviwaje?
Mwambie walikuwekea madawa wakakudukua huyo sio wewe kabisa ukiwa timamu..Mambo vipi wakubwa.
Ebanani tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie.
Basi me nikaenda kutoa lock pale kwa ile bar,mara ghafla yule mhudumu nae akaanza kucheza mziki hiku anaikatikia kwa mbele.
Wife aliona tukio zima na kulirecord.
Ebana leo kanipa file langu lote nimejiona mjinga.
Kesi kama hii inasolviwaje?
Accept, own it, onyesha attempt za kujirekebishaMambo vipi wakubwa.
Ebanani tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie.
Basi me nikaenda kutoa lock pale kwa ile bar,mara ghafla yule mhudumu nae akaanza kucheza mziki hiku anaikatikia kwa mbele.
Wife aliona tukio zima na kulirecord.
Ebana leo kanipa file langu lote nimejiona mjinga.
Kesi kama hii inasolviwaje?
Mwambie zilikuwa ni pombe tu si akili yako.Mambo vipi wakubwa.
Ebanani tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie.
Basi me nikaenda kutoa lock pale kwa ile bar,mara ghafla yule mhudumu nae akaanza kucheza mziki hiku anaikatikia kwa mbele.
Wife aliona tukio zima na kulirecord.
Ebana leo kanipa file langu lote nimejiona mjinga.
Kesi kama hii inasolviwaje?
mbona hakuna kesi hapoMambo vipi wakubwa.
Ebanani tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie.
Basi me nikaenda kutoa lock pale kwa ile bar,mara ghafla yule mhudumu nae akaanza kucheza mziki hiku anaikatikia kwa mbele.
Wife aliona tukio zima na kulirecord.
Ebana leo kanipa file langu lote nimejiona mjinga.
Kesi kama hii inasolviwaje?
Inasikitisha sana😔😔😔Ni huzuni kwakweli, no wonder kila siku wanatupigia kelele humu!!
Tushakubaliana wanaume wenye akili tu ndio waoe, ila vichwa ngumu sasa🙆♂️
Mkeo ana tatizo la ubongo labda, mbona wanywaji ni kawaida kuwashika shika hawa wahudumu, sema labda naye ana mchepuko sasa anatafuta sababu aanze kufanya yake. Hakuna haja ya kutoa maelezo wewe piga kimya kana kwamba halijatokea jambo lolote kama akiamua kuondoka kwa sababu hiyo mfungulie mlango.Mambo vipi wakubwa.
Ebana tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie wakawa wanakunywa soda.
Basi me nikaenda kutoa lock pale kwa ile bar,mara ghafla yule mhudumu nae akaanza kucheza mziki huku ananikatikia kwa mbele.
Wife aliona tukio zima na kulirecord.
Ebana leo kanipa file langu lote nimejiona mjinga.
Kesi kama hii inasolviwaje?
Shida sanaHilo nalo unaomba usaidiwe mbinu?Kazi kweli.