Jichanganye uone balaa.Wanandoa kila siku ni malalamiko, mnatutisha ambao hatujaoa hatuoni umuhimu wa ndoa sasa
House girl bila usimamizi wa wewe mwenyewe ni kuongeza idadi ya watu kunyumbaKama unampenda weka house girl msafi, kama humpendi piga chini
Msaidie nyumbani na kazi za usafi. Piga deki, toa taka taka, etc. Vile wewe hufanya kama hayupo. Ulimuoa wewe. When you end up with a bad lady for a wife huwa umefeli. Whether uliona mkichumbiana or not. Ulianguka mtihani. A constant reminder that as a man you are not perfect. Wacha mambo ya ku complain in anonymous forums or to your friends. Brings out your weakness.Heri ya X-mass in advance
Ebhana kuishi na mke ambaye hajali mazingira ya usafi wa nyumba ni kero mno. Mwanzo nakutana nae hali hii haikujionesha ila sasa tulipofunga ndoa na kujenga basi hali imekua mbaya.
Muda mwingi siishi pamoja na huyu mke kutokana na masuala yake ya kikazi, ila sasa kila anapokuja hapa home asee mazingira yanabadilika nyumba inakua chafu kupindukia.
Akiamka asubuhi anachojua yeye ni kuoga kuvaa na kuendelea na mambo mengine na si kushughulikia usafi wa nyumba nje na ndani. Ana mdogo wake nae ni wale wale binti mchafu hatari nimeongea sana asee hadi nimechoka.
Hii tabia naona keshamrithisha hadi mwanetu wa kike nae ni ovyo hajui kufagia uwanja,hajui kuosha vyombo nguo zake ni kuziweka popote pale.
Nimeongea sana nimepiga kelele sana ila sioni dalili ya mtu kubadilika. Nikibaki peke yangu hapa home mazingira yanakua safi ila akija yeye tu ni balaa kama dampo.
Kwenye maisha yangu nachukia sana uchafu na kukaa na mtu mchafu asiye jali mazingira anayoishi kwa kweli inanipa tabu hadi naona bora niendelee kuishi peke yangu tu.
Mwanamke anajua kuoga, kujiremba kuvaa nguo nzuri ila mazingira anayoishi ni kinyaa kabisa.
Wakuu mnadeal vipi na wake na wanafamilia wengine wachafu wachafu hasa uchafu wa mazingira ya nyumbani nje na ndani?
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Inawezekana pia, nami nina tatizo same same..Nimekua mkubwa ndio nikagundua ni tatizo.Inawezekana shida ni wewe. Kuna wengine mna compulsive obsessive disorder. Ni tatizo ambalo mtu anataka kila kitu kiwe kwenye mpangilio mzuri kabisa. Kila kitu kiwe safi kabisa. Ni tatizo hilo.
Kwanza usafi sana huwa unapoteza muda bila faida yoyote ya maana.
Kheee hahahhaha hali sio nzuriBora wakwako anajua kuoga,huyu wangu hata kuoga ni shida,wagogo acheni uchafu jamani mnatukera
Kwani we mchafu mkuu...Inawezekana shida ni wewe. Kuna wengine mna compulsive obsessive disorder. Ni tatizo ambalo mtu anataka kila kitu kiwe kwenye mpangilio mzuri kabisa. Kila kitu kiwe safi kabisa. Ni tatizo hilo.
Kwanza usafi sana huwa unapoteza muda bila faida yoyote ya maana.
Wewe na mimi hatupishani,mimi kukiwa na uchafu nakosa raha kabisa,na siwezi kuvumilia,kila kitu lazima kikae kwenye mpangilio kinyume cha hapo hatutaelewana...Inawezekana pia, nami nina tatizo same same..Nimekua mkubwa ndio nikagundua ni tatizo.
Asipojicontrol atagombana sana na watu.. Mi siku hizi nimeweza kucontrol... hata watu wakifanya uchafu nawaacha muda ukifika najifanyia zangu. Zamani ilikuw ukichafua mimi nasafisha muda huo huo. Ni mateso kwa kweli!
Kabla ya kuoana tabia njema Zote utaziona.Heri ya X-mass in advance
Ebhana kuishi na mke ambaye hajali mazingira ya usafi wa nyumba ni kero mno. Mwanzo nakutana nae hali hii haikujionesha ila sasa tulipofunga ndoa na kujenga basi hali imekua mbaya.
Muda mwingi siishi pamoja na huyu mke kutokana na masuala yake ya kikazi, ila sasa kila anapokuja hapa home asee mazingira yanabadilika nyumba inakua chafu kupindukia.
Akiamka asubuhi anachojua yeye ni kuoga kuvaa na kuendelea na mambo mengine na si kushughulikia usafi wa nyumba nje na ndani. Ana mdogo wake nae ni wale wale binti mchafu hatari nimeongea sana asee hadi nimechoka.
Hii tabia naona keshamrithisha hadi mwanetu wa kike nae ni ovyo hajui kufagia uwanja,hajui kuosha vyombo nguo zake ni kuziweka popote pale.
Nimeongea sana nimepiga kelele sana ila sioni dalili ya mtu kubadilika. Nikibaki peke yangu hapa home mazingira yanakua safi ila akija yeye tu ni balaa kama dampo.
Kwenye maisha yangu nachukia sana uchafu na kukaa na mtu mchafu asiye jali mazingira anayoishi kwa kweli inanipa tabu hadi naona bora niendelee kuishi peke yangu tu.
Mwanamke anajua kuoga, kujiremba kuvaa nguo nzuri ila mazingira anayoishi ni kinyaa kabisa.
Wakuu mnadeal vipi na wake na wanafamilia wengine wachafu wachafu hasa uchafu wa mazingira ya nyumbani nje na ndani?
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Inaelekea wewe unahiyo roho ya usafi na jitihada za kufanya usafi. As long as ukiwa pekeyako unamaintain usafi, nakusihi uwe hivo hivo hata akiwepo. I mean jukumu la usafi ulibebe wewe. Inaweza kusound rediculuos lakini ndivyo uhalisia ulivyo.Heri ya X-mass in advance
Ebhana kuishi na mke ambaye hajali mazingira ya usafi wa nyumba ni kero mno. Mwanzo nakutana nae hali hii haikujionesha ila sasa tulipofunga ndoa na kujenga basi hali imekua mbaya.
Muda mwingi siishi pamoja na huyu mke kutokana na masuala yake ya kikazi, ila sasa kila anapokuja hapa home asee mazingira yanabadilika nyumba inakua chafu kupindukia.
Akiamka asubuhi anachojua yeye ni kuoga kuvaa na kuendelea na mambo mengine na si kushughulikia usafi wa nyumba nje na ndani. Ana mdogo wake nae ni wale wale binti mchafu hatari nimeongea sana asee hadi nimechoka.
Hii tabia naona keshamrithisha hadi mwanetu wa kike nae ni ovyo hajui kufagia uwanja,hajui kuosha vyombo nguo zake ni kuziweka popote pale.
Nimeongea sana nimepiga kelele sana ila sioni dalili ya mtu kubadilika. Nikibaki peke yangu hapa home mazingira yanakua safi ila akija yeye tu ni balaa kama dampo.
Kwenye maisha yangu nachukia sana uchafu na kukaa na mtu mchafu asiye jali mazingira anayoishi kwa kweli inanipa tabu hadi naona bora niendelee kuishi peke yangu tu.
Mwanamke anajua kuoga, kujiremba kuvaa nguo nzuri ila mazingira anayoishi ni kinyaa kabisa.
Wakuu mnadeal vipi na wake na wanafamilia wengine wachafu wachafu hasa uchafu wa mazingira ya nyumbani nje na ndani?
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Hiyo ni changamoto kubwa sana nakupa pole mno.. Ila kwa uzoefu wangu na kuchokonoa vitu niligundua hii tabia ni pepo! Pepo la uchafu.. Yani ni tabu tupu na mwenye nalo haoni shida yoyoteHeri ya X-mass in advance
Ebhana kuishi na mke ambaye hajali mazingira ya usafi wa nyumba ni kero mno. Mwanzo nakutana nae hali hii haikujionesha ila sasa tulipofunga ndoa na kujenga basi hali imekua mbaya.
Muda mwingi siishi pamoja na huyu mke kutokana na masuala yake ya kikazi, ila sasa kila anapokuja hapa home asee mazingira yanabadilika nyumba inakua chafu kupindukia.
Akiamka asubuhi anachojua yeye ni kuoga kuvaa na kuendelea na mambo mengine na si kushughulikia usafi wa nyumba nje na ndani. Ana mdogo wake nae ni wale wale binti mchafu hatari nimeongea sana asee hadi nimechoka.
Hii tabia naona keshamrithisha hadi mwanetu wa kike nae ni ovyo hajui kufagia uwanja,hajui kuosha vyombo nguo zake ni kuziweka popote pale.
Nimeongea sana nimepiga kelele sana ila sioni dalili ya mtu kubadilika. Nikibaki peke yangu hapa home mazingira yanakua safi ila akija yeye tu ni balaa kama dampo.
Kwenye maisha yangu nachukia sana uchafu na kukaa na mtu mchafu asiye jali mazingira anayoishi kwa kweli inanipa tabu hadi naona bora niendelee kuishi peke yangu tu.
Mwanamke anajua kuoga, kujiremba kuvaa nguo nzuri ila mazingira anayoishi ni kinyaa kabisa.
Wakuu mnadeal vipi na wake na wanafamilia wengine wachafu wachafu hasa uchafu wa mazingira ya nyumbani nje na ndani?
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
kuna mfanyakazi mwenzangu jamani huyo kaka alikuwa msafi kuanzia unavomuona nje mpaka ndani kwake,siku moja nkamuuliza john itakuwaje siku ukioa mwanamke mchafu?alinambia ndoa itanishinda tuHuyo mpandishe tu cheo awe mke mkubwa maana huna jinsi ya kufanya.
Mimi siku zote namuomba Mungu anijalie mwanamke anayezingatia usafi.
Hakuna kitu kinatia aibu Kama kukaa Kwenye mazingira machafu.