Mke wangu na baba yake wanatumiana picha za uchi!

Ila huyo mke majibu yake yana ujasiri wa ajabu sana
Kuna visa vingi duniani hauwezi amini, nilishuudia mwanamke anamchepuko wake wa miaka mingi, me ana mke na watoto, watoto wakakua upande ke/mchepuko na upande me/mchepuko baada ya watoto wapande mbili hizo kuwa watu wazima wakaoana, mahari, harusi ndelemo na vifijo kama mawaida. Pamoja na hayo upande mmoja ulikuwa unatuhumu kwa kuibiwa mke
 
Natamani kumuacha lakini sina uhakika kama wana mahusaino na Baba yake au la, vipi wanangu wataishije, nimekwama naomba usaidizi wako, kila nikiwaza nahisi kuchanganyikiwa.
.
Wakuu hii ni Copy and Paste Kutoka Sehemu Nyingine
Hapa kuna ukakasi. Hapo ni nini hujawa na uhakika nacho?
 
Kama ni copy an paste tunamshauri nan sasa??
 
Kwisha habari yako
 
Huna uhakika wakati picha zimetumwa na umeona
 
Uwa tuko harak sana kumshauri mtu, kama achana nae huyo,
Au piga chini shetan hiyo
Au rudisha kwao vuta kitu kipya na kutoa mfano mizuuri kwa ujasiri
Shida sasa ikukute wewe hata kazini watakusahau
Utaamishia ibada bar, na kazini kwako itakuwa kaunta ya bar
Kama ni mvutaji wa sigara utanuka kama tanuru la kuchomea bangi zimazokamatwa kwenye opareshen ya madawa
Yatubid tumpe pole yake tu jamaa
Sijui kwanini ukioa demu anabadilika, anakuwa hajari tena ndoa yake, kuliwa wanakuwa wepesi sana
Mtanisamehe wabunge wetu
Yaan wanakuwa kama wabunge wetu, kabla ya kuchavuliwa wanakuwa na maono mazuri sana, [emoji848] ngojawaingie bungeni utadhani wanaondolewa ubongo,
Arafu subiri akiondoka bungeni baada ya muda wake kwisha, anapona kabisa, atakuwa na point hizo, wabongo twaita madini
Mimi mpaka leo sijafunga ndoa na ninaheshimiana sana na. Mke wangu na tumeshjhudia ndoa nyingi mpya nzuri, zikivunjika ambazo kabla uwezi kusema hawa watu watakuja kuacbana
Kuwa makini na hawa wenzetu wanaakili zingine
 
Mwanamke ambaye hamjafunga naye ndoa unamuita mkeo?

Au mkuu hauelewi kuwa mume au mke ni title inayopatikana kwa kupitia utaratibu flani halali wa kisheria au kimila?

Kiswahili hakijawa lugha muflisi ya kukosa maneno ya kutumiwa kumhusu mwanamke ambaye haujafunga naye ndoa, namaanisha kuwa maneno hayo yapo.

Kwa nini unatumia title za watu zisizokuhusu?

Na kama unapenda kuhodhi title hiyo, kwanini usifuate taratibu zinazotakiwa ambazo ni rahisi tu kuzifuata na kuzitekeleza?
 
Kwa hiyo kama ni copy and paste unatuletea hapa sisi tufanyeje? Huyo aliyegongewa mwache agongewe tu hakuna namna! Ana uhakika gani kama huyo mzee ni babake mdhadhi? Kama baba wa kambo je?
 
Ibada ya kimizimu hiyo ili kulinda Mali na utajiri wa familia yao!
Hao ni wapenzi bhana!

Ibada za kimizimu zingelifanywa kwa siri kubwa na staha.

Ninasema hivi kutokana na maelezo ya mume, jinsi mkewe alivyokolea kwa baba na kuamua kutoroka kwa mumewe huku akiliona jambo hiloka aibu kuwa ni jambo la kawaida kwake.
 
Kwa nini na wewe usimtumie mama wa mke wako picha zako za utupu?
 
Mke wangu nampenda tuna watoto wawili................no comment.
Kuna wababa wana.....watoto wao wa kuzaa.
 
Ila kweli wee nae una mindi vitu vidogo. Huyo wife yupo sahihi kukuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…