Niko kwenye ndoa miaka 7 na mke wangu, kila kitu kilikua vizuri mpaka wiki mbili zilizopita, mke wangu aliniaga kuwa anaenda safari ya kikazi. Yeye anafanya kwenye kampuni ya Baba yake ambayo inahusika na ujenzi, Baba yake ni mhandisi.
Mara nyingi hua wansafiri pamoja na sina wasiwasi kwani nilikua naamini ni Baba yake hakuna shida. Lakini safari hii kuna kitu kilibadilika, mke wangu alikua hapokei simu, nilishikwa na wasiwasi nilitaka kumpigia Baba yake lakini nikaona haitakua poa.
Kwahiyo ni ikama nilipiga simu ikakata, kwamaana iliita sekunde moja tu. Nikakaa kimya kwani ilikua ni usiku kama saa nne hivi na nilitaka kujua tu kama wamefika au la. Niliendelea kumpigia simu mke wangu ila iliita tu bila kupokea.
Usiku kwenye saa nane hivi simu yangu iliita, kwakua nilikua bado sijalala vizuri kwani bado nilikua na mawazo kwanini mke wangu hapokei simu nikakuta ni Baba mkwe anapiga, ninapokea nikihisi labda ananiabia kitu, lakini alikua haongei, ghafla nikasikia sauri ya kama watu wamelewa wanaongea vitu havieleweki.
Baadaye nasikia sauti za miguno ya mapenzi, nilisikiliza kama dakika 5 hivi nikakata nikaona hayanihusu. Asubuhi mke wangu alinipigia na kuniambia alitoka na Baba yake na rafiki zake akasahaua simu nyumbani, nikamuuliza walirudi saa nngapi akaniambia kwenye saa kumi alfajiri kwani Baba yake alikunywa sana.
Nilipata shaka kwani usiku wake nilisikia vitu vya ajabu kama alikua na Baba yake inamaana ni yeye alikua anafanya mapenzi na Baba yake? Nilikaa kimya sikutaka hata kufikiria hicho kitu, lakini aliporudi nilihisi kama kuna mabadiliko, akawa hana furaha, yaani ni kama kuna kitu alikua anaficha.
Niliamua kuhack simu yake, kusema kweli natamani nisingefanya hivyo, nilikuta mke wangu wanatumiana picha za uchi na baba yake mzazi, uchi wa mnyama na nyingine ni kama video walichukua wakiwa kitandani uchi. Nilitaka kukaa kimya ila nilishindwa kuvumilia.
Nikaamua kumuuliza mke wangu kwanini wanatumiana picha za namna ile, nikidhani kama atashtuka aliniambia nisamehe tulilewa ndiyo tukajikuta tuko hivi ni Baba alipiga na simu yangu akaniamia nimntumie, hata hakuna kitu.
Anaongea kama vile ni kitu cha kawaida, nilimuuliza kama ana mahusiano na Baba yake akakataa katakata, utakufa na ushamba wako kwani kuna nini Baba kuniona hivyo wakati nikiwa mdogo alikua ananiogesha.
Nikilasirika na kutaka kumpiga tukaishia kusukumana akaondoka mpaka leo hajarudi, ananitumia meseji hawezi kuishi na mimi kwani nina hasira, kama unakasirika kwa vitu vidogo kama hivyo ukijua mengine si utakufa. Alinitumia meseji, ananiambia nimpe talaka yake hahitaji kuishi na mwanaume ambaye simuelewa.
Nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Mke wangu nampenda, tuna watoto wawili, kila kitu kilikua vizuri. Natamani kumuacha lakijni sina uhakika kama wana mahusaino na Baba yake au la, vipi wanangu wataishije, nimekwama naomba suaidizi wako, kila nikiwaza nahisi kuchanganyikiwa.
.
Wakuu hii ni Copy and Paste Kutoka Sehemu Nyingine
Mkuu uliishia darasa la 4b? Huu uandishi ni balaaaHuyu Binti namjua yupo peke yake Kwa baba yake,niliwai wakopesha mmkopo Kwa kampuni Yao sikunwanachukia mkopo walkija wawili Mzee alimpiga mitinhuyo mwanae lodge moja pale kijitonyama aise nilishangaa sanaaa Mzee mrefu ana upara Kwa mbali alafu ana Mwili enzi hizo Mzee alikuwa nanofisi postal secretary ni mke wake
...Achana naye, hakufai. Wapeane huko na Baba yake. Move on, Mkuu!Niko kwenye ndoa miaka 7 na mke wangu, kila kitu kilikua vizuri mpaka wiki mbili zilizopita, mke wangu aliniaga kuwa anaenda safari ya kikazi. Yeye anafanya kwenye kampuni ya Baba yake ambayo inahusika na ujenzi, Baba yake ni mhandisi.
Mara nyingi hua wansafiri pamoja na sina wasiwasi kwani nilikua naamini ni Baba yake hakuna shida. Lakini safari hii kuna kitu kilibadilika, mke wangu alikua hapokei simu, nilishikwa na wasiwasi nilitaka kumpigia Baba yake lakini nikaona haitakua poa.
Kwahiyo ni ikama nilipiga simu ikakata, kwamaana iliita sekunde moja tu. Nikakaa kimya kwani ilikua ni usiku kama saa nne hivi na nilitaka kujua tu kama wamefika au la. Niliendelea kumpigia simu mke wangu ila iliita tu bila kupokea.
Usiku kwenye saa nane hivi simu yangu iliita, kwakua nilikua bado sijalala vizuri kwani bado nilikua na mawazo kwanini mke wangu hapokei simu nikakuta ni Baba mkwe anapiga, ninapokea nikihisi labda ananiabia kitu, lakini alikua haongei, ghafla nikasikia sauri ya kama watu wamelewa wanaongea vitu havieleweki.
Baadaye nasikia sauti za miguno ya mapenzi, nilisikiliza kama dakika 5 hivi nikakata nikaona hayanihusu. Asubuhi mke wangu alinipigia na kuniambia alitoka na Baba yake na rafiki zake akasahaua simu nyumbani, nikamuuliza walirudi saa nngapi akaniambia kwenye saa kumi alfajiri kwani Baba yake alikunywa sana.
Nilipata shaka kwani usiku wake nilisikia vitu vya ajabu kama alikua na Baba yake inamaana ni yeye alikua anafanya mapenzi na Baba yake? Nilikaa kimya sikutaka hata kufikiria hicho kitu, lakini aliporudi nilihisi kama kuna mabadiliko, akawa hana furaha, yaani ni kama kuna kitu alikua anaficha.
Niliamua kuhack simu yake, kusema kweli natamani nisingefanya hivyo, nilikuta mke wangu wanatumiana picha za uchi na baba yake mzazi, uchi wa mnyama na nyingine ni kama video walichukua wakiwa kitandani uchi. Nilitaka kukaa kimya ila nilishindwa kuvumilia.
Nikaamua kumuuliza mke wangu kwanini wanatumiana picha za namna ile, nikidhani kama atashtuka aliniambia nisamehe tulilewa ndiyo tukajikuta tuko hivi ni Baba alipiga na simu yangu akaniamia nimntumie, hata hakuna kitu.
Anaongea kama vile ni kitu cha kawaida, nilimuuliza kama ana mahusiano na Baba yake akakataa katakata, utakufa na ushamba wako kwani kuna nini Baba kuniona hivyo wakati nikiwa mdogo alikua ananiogesha.
Nikilasirika na kutaka kumpiga tukaishia kusukumana akaondoka mpaka leo hajarudi, ananitumia meseji hawezi kuishi na mimi kwani nina hasira, kama unakasirika kwa vitu vidogo kama hivyo ukijua mengine si utakufa. Alinitumia meseji, ananiambia nimpe talaka yake hahitaji kuishi na mwanaume ambaye simuelewa.
Nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Mke wangu nampenda, tuna watoto wawili, kila kitu kilikua vizuri. Natamani kumuacha lakijni sina uhakika kama wana mahusaino na Baba yake au la, vipi wanangu wataishije, nimekwama naomba suaidizi wako, kila nikiwaza nahisi kuchanganyikiwa.
.
Wakuu hii ni Copy and Paste Kutoka Sehemu Nyingine
Bila shaka ni wapare au wachagaKuna kabila moja hapa nchini (siyo wahindi) wana utamaduni wa baba kuchakata mbususu ya binti yake.
Niliwahi kudate na manzi mmoja ambaye kwao wanawake ni wengi, dada zake wameolewa lakini nikaja kugundua mzee wao anapita nao mazima.hata walio kwenyendoa
Nilichukua hatua ya kuachana mara moja na gelofrendi wangu na nikamueleza ukweli kuwa i feel insecure kuwa na wakwe wenye tabia aina hiyo. Ingawa alininasihi sana nisimchanganye na dada zake (alikiri kweli baba anachakata dada zake) yeye hajawahi. Lakini nilikuwa nimeshafanya maamuzi
Baadaye alikuja kuolewa na akaachika baada ya mumewe kugundua mkewe anachumishwa mboga na baba mzazi wa mke. Mzee wao amefariki miaka 5 imepita sasa lakini kaacha doa baya sana kwa bintize.
Mzee kama una uthibitisho wa hizo nyendo na kutumiana picha basi wala usitoe second chance. Biblia imekatza, Quran haijatuhusu hivyo anza maisha mapya usije ukashare laana alizojiingiza huyo mkeo.
Acha kuleta stori za kutungaNimeleta kama taarifa Maana nimeikuta Sehemu ila Mkewangu ni Mchaga
Mkeo amekuambia ukijua na mengine wanayoyafanya si utakufa, bado unamashaka ya nini! Unataka akuoneshe picha zao za kuchumishana mchicha ndio uelewe!Niko kwenye ndoa miaka 7 na mke wangu, kila kitu kilikua vizuri mpaka wiki mbili zilizopita, mke wangu aliniaga kuwa anaenda safari ya kikazi. Yeye anafanya kwenye kampuni ya Baba yake ambayo inahusika na ujenzi, Baba yake ni mhandisi.
Mara nyingi hua wansafiri pamoja na sina wasiwasi kwani nilikua naamini ni Baba yake hakuna shida. Lakini safari hii kuna kitu kilibadilika, mke wangu alikua hapokei simu, nilishikwa na wasiwasi nilitaka kumpigia Baba yake lakini nikaona haitakua poa.
Kwahiyo ni ikama nilipiga simu ikakata, kwamaana iliita sekunde moja tu. Nikakaa kimya kwani ilikua ni usiku kama saa nne hivi na nilitaka kujua tu kama wamefika au la. Niliendelea kumpigia simu mke wangu ila iliita tu bila kupokea.
Usiku kwenye saa nane hivi simu yangu iliita, kwakua nilikua bado sijalala vizuri kwani bado nilikua na mawazo kwanini mke wangu hapokei simu nikakuta ni Baba mkwe anapiga, ninapokea nikihisi labda ananiabia kitu, lakini alikua haongei, ghafla nikasikia sauri ya kama watu wamelewa wanaongea vitu havieleweki.
Baadaye nasikia sauti za miguno ya mapenzi, nilisikiliza kama dakika 5 hivi nikakata nikaona hayanihusu. Asubuhi mke wangu alinipigia na kuniambia alitoka na Baba yake na rafiki zake akasahaua simu nyumbani, nikamuuliza walirudi saa nngapi akaniambia kwenye saa kumi alfajiri kwani Baba yake alikunywa sana.
Nilipata shaka kwani usiku wake nilisikia vitu vya ajabu kama alikua na Baba yake inamaana ni yeye alikua anafanya mapenzi na Baba yake? Nilikaa kimya sikutaka hata kufikiria hicho kitu, lakini aliporudi nilihisi kama kuna mabadiliko, akawa hana furaha, yaani ni kama kuna kitu alikua anaficha.
Niliamua kuhack simu yake, kusema kweli natamani nisingefanya hivyo, nilikuta mke wangu wanatumiana picha za uchi na baba yake mzazi, uchi wa mnyama na nyingine ni kama video walichukua wakiwa kitandani uchi. Nilitaka kukaa kimya ila nilishindwa kuvumilia.
Nikaamua kumuuliza mke wangu kwanini wanatumiana picha za namna ile, nikidhani kama atashtuka aliniambia nisamehe tulilewa ndiyo tukajikuta tuko hivi ni Baba alipiga na simu yangu akaniamia nimntumie, hata hakuna kitu.
Anaongea kama vile ni kitu cha kawaida, nilimuuliza kama ana mahusiano na Baba yake akakataa katakata, utakufa na ushamba wako kwani kuna nini Baba kuniona hivyo wakati nikiwa mdogo alikua ananiogesha.
Nikilasirika na kutaka kumpiga tukaishia kusukumana akaondoka mpaka leo hajarudi, ananitumia meseji hawezi kuishi na mimi kwani nina hasira, kama unakasirika kwa vitu vidogo kama hivyo ukijua mengine si utakufa. Alinitumia meseji, ananiambia nimpe talaka yake hahitaji kuishi na mwanaume ambaye simuelewa.
Nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Mke wangu nampenda, tuna watoto wawili, kila kitu kilikua vizuri. Natamani kumuacha lakijni sina uhakika kama wana mahusaino na Baba yake au la, vipi wanangu wataishije, nimekwama naomba suaidizi wako, kila nikiwaza nahisi kuchanganyikiwa.
.
Wakuu hii ni Copy and Paste Kutoka Sehemu Nyingine
Sasa ndo ujue huu ni ukweli kabsaaa jamaa anachapiwa na Baba mkwe wake ! huwezi beba uongo huko eti ulete humu ili iweje? NOOOO!! DOGO UNACHAPIWA AJILI YA KIBAMIAStory imeshapoteza sifa ya kujadiliwa, umeleta hadithi ya mtu hata humjui na wala sio wewe mhusika..tunashauri au tupige soga?
Lbda mtu na Kaka ake au na mpenzi wakeAngalia watoto wa siku hizi mnawaacha wanavaa hivyo mbele ya baba
Sasa mama anaona sawa tu mwanae avae hivyo mbele ya baba yake
Maadili yameharibika sana mpaka baba wengine wwmekuwa mazezeta na misukule na wanatawaliwa na wanawake na watoto
Hapo utamlaumu nani? Baba? Mama?
Au serikali maana kuna watu wanalaumu kila kitu mobile phones na utandawazi
Dunia imeisha Enzi zetu hata mvulana hasogei hapo View attachment 2408468
Pole,Mungu aiponye ndoa yako.Nimeleta kama taarifa Maana nimeikuta Sehemu ila Mke wangu ni Mchaga
Mkuu ultoa mahar kwel toshelez kbs?Niko kwenye ndoa miaka 7 na mke wangu, kila kitu kilikuwa vizuri mpaka wiki mbili zilizopita, mke wangu aliniaga kuwa anaenda safari ya kikazi. Yeye anafanya kwenye kampuni ya Baba yake ambayo inahusika na ujenzi, Baba yake ni mhandisi.
Mara nyingi huwa wanasafiri pamoja na sina wasiwasi kwani nilikuwa naamini ni Baba yake hakuna shida. Lakini safari hii kuna kitu kilibadilika, mke wangu alikuwa hapokei simu, nilishikwa na wasiwasi nilitaka kumpigia Baba yake lakini nikaona haitakuwa poa.
Kwahiyo ni kama nilipiga simu ikakata, kwamaana iliita sekunde moja tu. Nikakaa kimya kwani ilikuwa ni usiku kama saa nne hivi na nilitaka kujua tu kama wamefika au la. Niliendelea kumpigia simu mke wangu ila iliita tu bila kupokea.
Usiku kwenye saa nane hivi simu yangu iliita, kwakuwa nilikuwa bado sijalala vizuri kwani bado nilikuwa na mawazo kwanini mke wangu hapokei simu nikakuta ni Baba mkwe anapiga, ninapokea nikihisi labda ananiambia kitu, lakini alikuwa haongei, ghafla nikasikia sauti ya kama watu wamelewa wanaongea vitu havieleweki.
Baadaye nasikia sauti za miguno ya mapenzi, nilisikiliza kama dakika 5 hivi nikakata nikaona hayanihusu. Asubuhi mke wangu alinipigia na kuniambia alitoka na Baba yake na rafiki zake akasahau simu nyumbani, nikamuuliza walirudi saa nngapi akaniambia kwenye saa kumi alfajiri kwani Baba yake alikunywa sana.
Nilipata shaka kwani usiku wake nilisikia vitu vya ajabu kama alikuwa na Baba yake inamaana ni yeye alikuwa anafanya mapenzi na Baba yake? Nilikaa kimya sikutaka hata kufikiria hicho kitu, lakini aliporudi nilihisi kama kuna mabadiliko, akawa hana furaha, yaani ni kama kuna kitu alikuwa anaficha.
Niliamua kuhack simu yake, kusema kweli natamani nisingefanya hivyo, nilikuta mke wangu wanatumiana picha za uchi na baba yake mzazi, uchi wa mnyama na nyingine ni kama video walichukua wakiwa kitandani uchi. Nilitaka kukaa kimya ila nilishindwa kuvumilia.
Nikaamua kumuuliza mke wangu kwanini wanatumiana picha za namna ile, nikidhani kama atashtuka aliniambia nisamehe tulilewa ndiyo tukajikuta tuko hivi ni Baba alipiga na simu yangu akaniamia nimtumie, hata hakuna kitu.
Anaongea kama vile ni kitu cha kawaida, nilimuuliza kama ana mahusiano na Baba yake akakataa katakata, utakufa na ushamba wako kwani kuna nini Baba kuniona hivyo wakati nikiwa mdogo alikua ananiogesha.
Nikikasirika na kutaka kumpiga tukaishia kusukumana akaondoka mpaka leo hajarudi, ananitumia meseji hawezi kuishi na mimi kwani nina hasira, kama unakasirika kwa vitu vidogo kama hivyo ukijua mengine si utakufa. Alinitumia meseji, ananiambia nimpe talaka yake hahitaji kuishi na mwanaume ambaye si muelewa.
Nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Mke wangu nampenda, tuna watoto wawili, kila kitu kilikuwa vizuri. Natamani kumuacha lakini sina uhakika kama wana mahusaino na Baba yake au la, vipi wanangu wataishije, nimekwama naomba usaidizi wako, kila nikiwaza nahisi kuchanganyikiwa.
.
Wakuu hii ni Copy and Paste Kutoka Sehemu Nyingine
Yes mojawapo ya kabila hizo.Bila shaka ni wapare au wachaga