Mke wangu nimemleta jana ila mpaka saiv hajarudi nyumbani

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Ukiskia ndoa ndoano sasa nimeanza kuiona

mke wangu huyu ni mpya kabisa ndoa haina mda, mimi ninafanyia kazi mkoa mwingime tofaut na tulipokua tunaishi sasa nilimtumia nauli aje huku jana tu ndio nimempokea stendi tena usiku

sasa cha kushangaza leo nimetoka kazini sijamkuta mpaka sasaivi saa mbili na robo usiku hajarudi namtafuta kwenye simu anadai eti amekutana na rafiki zake aliosoma nao ndo yuko anapiga nao story

ko mimi sasaivi niko napika

hizi si dharau za kisenge hizi?
 
Punguza hasira kiongozi nikweli tunaongea tu mambo ya shule,maana ni siku nyingi toka tulipopotezana shule,nimekutana nae ama hakika milima haikutani ila binadamu tunakutana,na hongera maana kwa alivyonona ni tofauti na alivyokuwa shule.
 
You don't know them yet..πŸ˜€
 
Utafta dem wa fasta hapo ingiza ndani Vua nguo vaa bukta ubaki kifua wazi na yeye ajifunge kanga tu agiza msosi mpige mkimaliza mkae sebren mumsubiri sasa. Akija akagomba mwambie nimeona nikutaftie msaidizi wa majukum yako ya ndoa maana naona kama vile huyawezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…