Mke wangu wa kiethiopia

Mke wangu wa kiethiopia

kijanamtanashati

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2014
Posts
516
Reaction score
905
Mke wangu wa kiethopia na kituruki. Mtoto yupo natural wala hatumii mkorogo mda wote sichoki kumuangalia alafu hawekagi yale madude madada wa kibongo wanaekaga usoni, mtoto full natural.

Asikwambie mtu kuwa na mtoto mzuri raha sana hata kazi zinaenda vizuri full amani kumoyo, wasichana wa kibongo wanazingua sana, siku hizi wanaume wa Tanzania tumestuka tunacheza na nyie kupigana misele kuoa nje nchi kwa wabebez wazuri wazuri wanaojitambua.
13658730_1756416697970567_166279447_n.jpg
14032752_271513789900160_1978576418_n.jpg
 
Eti mademu wa kibongo wanazingua? ? Kama kidemu chako kilikusumbua tuachie wa kwetu mkuu.
Kuna dada zetu wapo poa saana. I love them.
 
Nothing like Bantu Queen, cute and sexy...
[HASHTAG]#Bomboclat[/HASHTAG]
 
Eti mademu wa kibongo wanazingua? ? Kama kidemu chako kilikusumbua tuachie wa kwetu mkuu.
Kuna dada zetu wapo poa saana. I love them.
tatizo videm vya kibongo vichache sana ndo vinajitambua. na ukikapata kanachojitambua katakuzunguusha hako utafkiri kana mgodi wa dhahabu
 
Shyeeeh...!!! Kidem gani kimekaa kama baruti..!
 
Mke wangu wa kiethopia na kituruki. Mtoto yupo natural wala hatumii mkorogo mda wote sichoki kumuangalia alafu hawekagi yale madude madada wa kibongo wanaekaga usoni, mtoto full natural.

Asikwambie mtu kuwa na mtoto mzuri raha sana hata kazi zinaenda vizuri full amani kumoyo, wasichana wa kibongo wanazingua sana, siku hizi wanaume wa Tanzania tumestuka tunacheza na nyie kupigana misele kuoa nje nchi kwa wabebez wazuri wazuri wanaojitambua.View attachment 392779 View attachment 392780
Wanaume wa kibongo wapi?
 
Back
Top Bottom