*Jana nilimdanganya mke wangu nasafiri naenda Mbeya kumbe nipo tu kwa mchepuko*
*Kwa bahati mbaya leo mchana ile napanda daladala ya Tegeta nikapishana nae mlangoni.*
*Unajua niliishiwa nguvu nikajikuta tu namuuliza*
*Mke wangu umenifwata hadi huku Uyole!!*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]