Mke wangu

ingia mkataba na bujibuji akusaidie nyumba isiende mrama tangu kale yapo haya.:twitch:
 
Mkuu huyo wife wako hataweza kuacha hiyo tabia na eventually atakuu na Ukimwi. Yaani sasa hivi wewe ni kama mwanajeshi aliyeko Iraq au Afghanistan unaweza kufa siku yoyote.

Kama unajipenda na unapenda watoto wako achana na huyo dada immediately ili upate maisha mengi duniani na kulea watoto. Usipomuacha you will soon be history na sisi tutasoma eulogy yako. Do you know what it mean to cheat with lots of men yaani jamaa kibao wanam***olea mdomoni kama choo alafu wewe unamuita wife. iiiiiuuuuuuu!

Sorry 4 bad language but i had to go there to show you the magnitude of her actions!
 

naomba kufahamu ni kabila gani huyo mkeo.... I had the same experience once.
 

OMG...!!!! duh
 


Its not going to work huyu wife wa jamaa ni repeat offender anaonekana yuko edicted to sex. she is an addict!
 

Umenena!
 
Tabia ni kigezo muhimu sana kuliko vinginevyo.Kumbuka kuwa kunguru hafugiki au maji hayasahau kale yake. Good day!!!


Umenena huwezi kumbadilisha kunguru awe njiwa. kunguru ni ndege pori hawezi kukaa ndani
 

Umenena mama. Thank u!
 
Msamehe kama unampenda kumbuka binadamu hua hajakamilika,ongea nae muliza kila unachotaka kumiliza,inawezekana ww ulikua huna time nae,
Umeshughulika na kazi hana wakumliwaza,juu yakua hiyo sio sababu ya msingi lakini still mpe nafasi kama unampenda kweli.
 
Kaa nae muongee vizuri muulize maswali ya maana akikujibu vizuri na ukaona unaweza samehe samehe,wanawake huwa tunaweza kusamehe na nyie mjifunze kusamehe, ila ukiona hawezekaniki unaweza waza mawazo mengine
 
Mbona asilimia kubwa mnaweka lawama kwa bint? je mna uhakika gani na huyu jamaa yetu kama kazi anaiweza? sasa kama alikuwa au ana matatizo msheku anaikuka kwa tabu, na hajawahi kumfikisha hivi kweli dada wa watu aendelee kukaa tu?
 
Mbona asilimia kubwa mnaweka lawama kwa bint? je mna uhakika gani na huyu jamaa yetu kama kazi anaiweza? sasa kama alikuwa au ana matatizo msheku anaikuka kwa tabu, na hajawahi kumfikisha hivi kweli dada wa watu aendelee kukaa tu?
Na kama aliona mume hawezi kazi si ngemwambia aongeze maujuzi kuliko kusubiria kufumaniwa /kukutwa na vithibitishi
 
hata mimi nakushauri achana naye hata kama mnawatoto wangapi hilo usijali UKIMWI upo tena unatisha hawezi singizia shetani. shetani wa mtu ni yeye mwenyewe
 
Mwache! Katika maisha si ujinga kuanza upya. Anza upya. Pole sana Mkuu.
 

Via Mobile punguza munkari............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…