Mkeka wa Chadema aliyeanza kuuchana ni Team Mbowe, Lissu aliwastukia akabadili gia angani

Mkeka wa Chadema aliyeanza kuuchana ni Team Mbowe, Lissu aliwastukia akabadili gia angani

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,130
Reaction score
2,102
Nitatoa hints TU:
  1. LISSU alisema awali kwamba hawezi kugombea nafasi ya MBOWE.
  2. Team MBOWE wakamwandalia mchakato wa Abdul. Inaelekea walikuwa na manufaa na mchakato.
  3. Mchakato wa Abdul ulipokwama wakaandaa mchakato wa kumwengua Moja kwa Moja kwenye nafasi za juu za uongozi wa chama.
  4. Wenje akatangaza kugombea nafasi ya Makam.
  5. Makam akabaini mchakato kuwa na mizizi iliyojichimbia chini zaidi na inasimamiwa kwa umakini mkubwa.
  6. Makam akaamua kubadili GIA ANGANI
Kilichofuata sasa ndio kinashangaza:
TBC, ITV, ..., ...., ...., UHU....., wanaambatana na BOSS. Tusubiri uchambuzi wa Kachero aliyechambua madhaifu kwenye Press ya LISSU ni imani yangu kwamba na huyu atamchambua vizuri.
 
Mie naona hao drama 🤣🤣🤣🤣tu wameweka wapate attention ya wananchi then.............. Walete walichopanga iwe mshituko tena ati wanatoa 🤣🤣🤣🤣

Iweje Mwenyekiti (na wenye Chama) wasimsishushe cheo Makamu wake hadi leo au kufanya lolote aache kupiga mdomo wake tangu aanze.

Sijui katiba yao kutoana kukoje ila Mkiti angesukuma iwe hivyo tanguuuuuu kwa njia yoyote.

CHADRAMA

Nawaonea huruma mnaojipiga wa navyotaka kuwa jadili asubuhi hadi asubuhi.. hadi mmoja humu jana eti maisha sijui nini kisa chama hiki..

Mie 🍿🍿🍿
 
Mie naona hao drama 🤣🤣🤣🤣tu wameweka wapate attention ya wananchi then.............. Walete walichopanga iwe mshituko tena ati wanatoa 🤣🤣🤣🤣

Iweje Mwenyekiti (na wenye Chama) wasimsishushe cheo Makamu wake hadi leo au kufanya lolote aache kupiga mdomo wake tangu aanze.

Sijui katiba yao kutoana kukoje ila Mkiti angesukuma iwe hivyo tanguuuuuu kwa njia yoyote.

CHADRAMA

Nawaonea huruma mnaojipiga wa navyotaka kuwa jadili asubuhi hadi asubuhi.. hadi mmoja humu jana eti maisha sijui nini kisa chama hiki..

Mie 🍿🍿🍿
Wenye Drama zao wanajulikana
 
Huruma ni kwa wale waliojitoa kukipigania CHADRAMA wakidhani ni chama cha siasa kumbe ni saccos ya mmachame.
 
Mdude_Nyagali

Kwenye Clip mlipokamatwa ukiwa na FAM askari wote walionekana wazi kuwa hawakuwa na shida na boss wako. Kibaya zaidi FAM alionekana akiongea na simu kwa uhuru wote.
 
Mie naona hao drama 🤣🤣🤣🤣tu wameweka wapate attention ya wananchi then.............. Walete walichopanga iwe mshituko tena ati wanatoa 🤣🤣🤣🤣

Iweje Mwenyekiti (na wenye Chama) wasimsishushe cheo Makamu wake hadi leo au kufanya lolote aache kupiga mdomo wake tangu aanze.

Sijui katiba yao kutoana kukoje ila Mkiti angesukuma iwe hivyo tanguuuuuu kwa njia yoyote.

CHADRAMA

Nawaonea huruma mnaojipiga wa navyotaka kuwa jadili asubuhi hadi asubuhi.. hadi mmoja humu jana eti maisha sijui nini kisa chama hiki..

Mie 🍿🍿🍿
Ngoja nirudie kusoma.
 
Sasa ni RASMI kwamba team MBOWE ndo walianza vurugu, LISSU alitamani kubaki kwenye nafasi ya Makam Lakini team MBOWE wakaplan kumwengua kupitia Wenje. Sasa kama Mbwai na iwe Mbwai
 
Hili game wewe ndio umelifafanua vizuri.
 
Back
Top Bottom