Mkeka wa uhamisho wa watumishi unatoka lini?

Mkeka wa uhamisho wa watumishi unatoka lini?

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
2,660
Reaction score
3,501
Tangu mkeka wa mwisho utoke nadhani ni Julai mwaka jana halafu ndipo ukaletwa huu uhamisho wa kwenye mfumo.

Juzi kati tena kukaja habari ya kufuata wenza watu wakashughulikia fasta.

Sasa baada ya mambo yote hayo wengi wetu tumetega macho na masikio matarajio yetu ni kuona mkeka kabambe wa uhamisho wa watumishi.

Swali la nyongeza:
Hivi pale kwenye mfumo ili uwe umekamilisha kila kitu inatakiwa pasomekaje?
 
Hii nchi kila kitu changamoto lkn issue ya uhamisho watoto was vigogo au ndugu wanahama hii sio poa
 
Subira yavuta heri. Huenda wengine wakahama na wengine waka kwama kwasababu inaonekana ni uhamisho wa kubadilishana halmashauri, Ile njoo kwangu nije kwako.
 
Kuna halmashauri nimeona mkeka wa kufata wenza umetoka tarehe 1 wanafata barua
 
Tangu mkeka wa mwisho utoke nadhani ni Julai mwaka jana halafu ndipo ukaletwa huu uhamisho wa kwenye mfumo.

Juzi kati tena kukaja habari ya kufuata wenza watu wakashughulikia fasta.

Sasa baada ya mambo yote hayo wengi wetu tumetega macho na masikio matarajio yetu ni kuona mkeka kabambe wa uhamisho wa watumishi.

Swali la nyongeza:
Hivi pale kwenye mfumo ili uwe umekamilisha kila kitu inatakiwa pasomekaje?
4th dec
 
Ndoa zinekufa sana na haya mamikeka
 
Tangu mkeka wa mwisho utoke nadhani ni Julai mwaka jana halafu ndipo ukaletwa huu uhamisho wa kwenye mfumo.

Juzi kati tena kukaja habari ya kufuata wenza watu wakashughulikia fasta.

Sasa baada ya mambo yote hayo wengi wetu tumetega macho na masikio matarajio yetu ni kuona mkeka kabambe wa uhamisho wa watumishi.

Swali la nyongeza:
Hivi pale kwenye mfumo ili uwe umekamilisha kila kitu inatakiwa pasomekaje?
Habari ya uhamisho jamani mm nimehangaika mpaka sasa hivi nn kinawndelea jamani
 
Tangu mkeka wa mwisho utoke nadhani ni Julai mwaka jana halafu ndipo ukaletwa huu uhamisho wa kwenye mfumo.

Juzi kati tena kukaja habari ya kufuata wenza watu wakashughulikia fasta.

Sasa baada ya mambo yote hayo wengi wetu tumetega macho na masikio matarajio yetu ni kuona mkeka kabambe wa uhamisho wa watumishi.

Swali la nyongeza:
Hivi pale kwenye mfumo ili uwe umekamilisha kila kitu inatakiwa pasomekaje?
Nadhan hbr ya kufuata wenza,ilikuwa geresha kupoza presha ya watumishi wanaotaka kuhama
 
Ndugu wanaohusika wanasubiri kampeni zikianza za uchaguzi mkuu ndio watoe mkeka,ili watakaopata uhamisho wakipigie kura chama cha Dodoma!
Huu mwaka usipohama basi subiri hadi 2030!
 
Back
Top Bottom