Kweli kabisa,, connection ikiwepo basi ni kaz rahisi tuHii nchi kila kitu changamoto lkn issue ya uhamisho watoto was vigogo au ndugu wanahama hii sio poa
Halmashauri gani na ni WA mwezi gani na mwaka gani jamaa hebu weka vitu waziKuna halmashauri nimeona mkeka wa kufata wenza umetoka tarehe 1 wanafata barua
Halmashauri gani na ni WA mwezi gani na mwaka gani jamaa hebu weka vitu wazi
mkoa wa SkaziniHalmashauri gani na ni WA mwezi gani na mwaka gani jamaa hebu weka vitu wazi
4th decTangu mkeka wa mwisho utoke nadhani ni Julai mwaka jana halafu ndipo ukaletwa huu uhamisho wa kwenye mfumo.
Juzi kati tena kukaja habari ya kufuata wenza watu wakashughulikia fasta.
Sasa baada ya mambo yote hayo wengi wetu tumetega macho na masikio matarajio yetu ni kuona mkeka kabambe wa uhamisho wa watumishi.
Swali la nyongeza:
Hivi pale kwenye mfumo ili uwe umekamilisha kila kitu inatakiwa pasomekaje?
Ndo mkeka utatoka?4th dec
Habari ya uhamisho jamani mm nimehangaika mpaka sasa hivi nn kinawndelea jamaniTangu mkeka wa mwisho utoke nadhani ni Julai mwaka jana halafu ndipo ukaletwa huu uhamisho wa kwenye mfumo.
Juzi kati tena kukaja habari ya kufuata wenza watu wakashughulikia fasta.
Sasa baada ya mambo yote hayo wengi wetu tumetega macho na masikio matarajio yetu ni kuona mkeka kabambe wa uhamisho wa watumishi.
Swali la nyongeza:
Hivi pale kwenye mfumo ili uwe umekamilisha kila kitu inatakiwa pasomekaje?
Nadhan hbr ya kufuata wenza,ilikuwa geresha kupoza presha ya watumishi wanaotaka kuhamaTangu mkeka wa mwisho utoke nadhani ni Julai mwaka jana halafu ndipo ukaletwa huu uhamisho wa kwenye mfumo.
Juzi kati tena kukaja habari ya kufuata wenza watu wakashughulikia fasta.
Sasa baada ya mambo yote hayo wengi wetu tumetega macho na masikio matarajio yetu ni kuona mkeka kabambe wa uhamisho wa watumishi.
Swali la nyongeza:
Hivi pale kwenye mfumo ili uwe umekamilisha kila kitu inatakiwa pasomekaje?