Mkeka walioitwa kwenye usaili uhamiaji tarehe 28 Januari 2023

Mkeka walioitwa kwenye usaili uhamiaji tarehe 28 Januari 2023

Nasikia kuna majina mengine eti hayo ni ya ngazi za juu.Kuna ukweli wowote hapa
 
Nasikia kuna majina mengine eti hayo ni ya ngazi za juu.Kuna ukweli wowote hapa
Inawezekana kozi hapo wanangu siwaoni na walikia na vigezo adi vinafurumia cjui nn kimeangaliwa hapo yote kwa yote mtoa liziki mungu naisi aikuwa bahati kwao
 
Uhamiaji ni jipu sana waliotuma maombi ni wengi wao wanaita wachache...wametumia kigezo gani kukata watu!?!
[emoji28] si nasikia kuna mengine watatoa,,mimi nadhani itakua wameangalia gpa na huenda kuna wengine walichelewa kutuma kwa njia ya posta maombi hayakufika
 
Back
Top Bottom