Mkeka wangu wa laki 9 na 95 umetiki: Ni maeneo gani hapa Dar leo nitaenda kutana na papuchi za kizungu?

Mkuu zamani ilikuwa laki si pesa milioni matumizi lakini kwa sasa msemo ni ulicho nacho kikumbatie, Bro kumbatia laki 9 na 95
 
Ukishatoka huko kwenye papuchi za kizungu utakua tayari ni deadbody
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…