MKEKABET: Kuna tatizo la miamala

MKEKABET: Kuna tatizo la miamala

mwasipenjele

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
771
Reaction score
450
Kuna tatizo la miamala kati ya MkekaBet na Tigo pesa wahusika tatueni tatizo hili Leo weekend tambueni hilo,tatizo lipo tokea Jana pesa zimekwama hatujui ni nyie au ni Tigo mkipigiwa simu mnatoa majibu mepesi sana.mnakwaza
 
Ha! Na mimi Leo nataka nitumie mkekabet kwa Mara ya kwanza kumbe [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Wanasumbua toka Jana kuingiza pesa kwenye account ya MkekaBet
 
Nimepigwa pesa na mkeka bet jana pamoja na m bet wote ni wezi tu,
 
Back
Top Bottom