mwasipenjele
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 771
- 450
Premier nao leo kwenye simu ni shidaa haifungukiKila weeknd meridian wamekua wanazngua.. Sie huko tushasepa saiz tupo premier bet
Jamani nielimisheni, mkekabet na premier bet ni vitu gani? AhsanteniWahusika tatueni tatizo la miamala kutoka Tigopesa kwenda mkekaBet kutoka Jana pesa ukiweka kupitia tigo pesa hazingii kwenye account ya MkekaBet. Tambueni muda uasonga na hii ni weekend.
Jamani nielimisheni, mkekabet na premier bet ni vitu gani? Ahsanteni
Ni aina ya madini yapo Mtwara
Jamani acheni utani kwenye mambo seriousNi aina ya madini yapo Mtwara
Labda kwako mkuu Jana nimeingiza pesa na imeingia vizuri tu
Mimi natumia Tigo mkuu Jana niliingiza pesa ikakubali bila shida sikatai huenda baadae kukawa na tatizo hiloLabda unatumia Mtandao tofauti na TIGO..tatizo hasa liko Kwa wanaotumia TIGO.
Mimi natumia Tigo mkuu Jana niliingiza pesa ikakubali bila shida sikatai huenda baadae kukawa na tatizo hiloLabda unatumia Mtandao tofauti na TIGO..tatizo hasa liko Kwa wanaotumia TIGO.