Mkenya Akamatwa akipanga kufanya shambulizi kama la 11/9 Marekani

Mkenya Akamatwa akipanga kufanya shambulizi kama la 11/9 Marekani

ForeverMore

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2014
Posts
812
Reaction score
1,939
Mkenya Cholo Abdi Abdullah amekamatwa kwa tuhuma za kupanga shambulizi kama la September 11 Marekani.

Mkenya huyo, inasemekana alipenda maelezo na kikundi cha kigaidi na kwenda kuchukua mafunzo ya urubani Philippines mwaka 2017 mpaka 2019.

Inasemekana pia, kafanya research ya kutafuta majengo marefu zaidi Marekani na jinsi ya kupata Visa ya Marekani.

Inasemakana, mpango wake ni kuteka ndege ya abiria, kuingia kwenye chumba cha kurushia ndege na kutekeleza mpango kama ule wa September 11 ambapo ndege iligonga jengo na kuuawa watu kadhaa Marekani.

Mtuhumiwa huyo aliyekamatwa Philippines mwaka jana, ana safirishwa kwenda Manhattan Marekani kusomewa mashitaka.

Habari kutoka Newyork times

 
Huyo lazima wamfr sababu hamna kitu America wanaogopa kama ugaidi ndani ya nchi yao 😄😄
 
Kuna haja ya haya maandiko yao kufanyiwa revision na marekebisho maana hayajengi bali yanabomoa
hata mpaka hapa saivi yameshafanyiwa revision kibao na mengi tu yamefutwa...lakini bado yaliyobakia ni shida tupu sasa assume ile original version ingekuwaje...ila wanachofanya saivi ni kulimit acces ya material yao ndomaana unakuta masheikh tu na waalimu/wanazuoni ndo wanajua ila muislam wa kawaida(ordinary) yeye ni kufuata tu na kukariri.

Tatizo linakuja pale muislam wa kawaida akikutana na Sheikh asiye wa kawaida mwenye mipango ya kigaidi akamuonesha vile alivyofichwa na masheikh wengine...ndo utasikia "alikuwa muislam safi na mpole ila tunashangaa kusikia katoroka kaenda kujiunga Alshabaab"
 
Back
Top Bottom