Mkenya aliyeongoza kumpinga na kumkashifu Magufuli, aungama na kuomba Magufuli awe Rais wa Afrika

Mkenya aliyeongoza kumpinga na kumkashifu Magufuli, aungama na kuomba Magufuli awe Rais wa Afrika

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Niliwahi kufungua uzi wenye kichwa cha habari "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na Corona", baadhi ya watanzania na wakenya wasiokua na uwezo wa kuona mbali walinishutumu na kuniomba niufute ule uzi au niombe radhi, je bado wapo wanaotaka niombe radhi, au wao ndio wanapaswa kuniomba radhi?
 

Niliwahi kufungua uzi wenye kichwa cha habari "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na Corona", baadhi ya watanzania na wakenya wasiokua na uwezo wa kuona mbali walinishutumu na kuniomba niufute ule uzi au niombe radhi, je bado wapo wanaotaka niombe radhi, au wao ndio wanapaswa kuniomba radhi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwenye post yako sijaona
Mkenya aliyeongoza kumpinga na kumkashifu Magufuli, aungama na kuomba Magufuli awe rais wa Africa
 


Niliwahi kufungua uzi wenye kichwa cha habari "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na Corona", baadhi ya watanzania na wakenya wasiokua na uwezo wa kuona mbali walinishutumu na kuniomba niufute ule uzi au niombe radhi, je bado wapo wanaotaka niombe radhi, au wao ndio wanapaswa kuniomba radhi?

Tatizo mnaficha takwimu
 
Hamna siku shit-hole itakuja kuongoza Afrika.
 
Magufuli ndiye Rais muongoza njia Afrika
Not only Africa, hebu angalia hats wazungu wanaangalia vile sisi tunafanya au vile rais wetu anavyopambana na corona then nao wanaiga kutoka kwa JPM


Leo Trump amewaamrisha makanisa na miskiti ifunguliwe akidai kuwa taifa lake linahitaji maombi zaidi kuliko wakati wowote

JPM is a foresighted leader ,long live JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Not only Africa, hebu angalia hats wazungu wanaangalia vile sisi tunafanya au vile rais wetu anavyopambana na corona then nao wanaiga kutoka kwa JPM


Leo Trump amewaamrisha makanisa na miskiti ifunguliwe akidai kuwa taifa lake linahitaji maombi zaidi kuliko wakati wowote

JPM is a foresighted leader ,long live JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app
viva rais magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakikusikia chadema watakukata jicho hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
wanakijiwe chao cha kahawa kwenye kitaa flani hivi naendaga kuwachana live.mpaka nikapata watu wa kunisapot hapo apo.
kwa sasa siendi nishawacha watu wanamwaga sumu mbaya na october tunaweka tawi la HAPA KAZI TU.
litafunguliwa na said kubenea akisha ama chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Niliwahi kufungua uzi wenye kichwa cha habari "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na Corona", baadhi ya watanzania na wakenya wasiokua na uwezo wa kuona mbali walinishutumu na kuniomba niufute ule uzi au niombe radhi, je bado wapo wanaotaka niombe radhi, au wao ndio wanapaswa kuniomba radhi?
Mbn washaukimbia na uzi wenyewe [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
tapatalk_1590478967689.jpeg
 
Back
Top Bottom