Mkenya aliyeripotiwa 'kutekwa', aachiwa na polisi Tanzania

Mkenya aliyeripotiwa 'kutekwa', aachiwa na polisi Tanzania

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hivi vita vya baridi vinazidi kwenda kubaya kila uchao, yaani ndani ya miaka mitatu Kenya na Tanzania imekua vuta nikuvute ambayo haijaonekana siku nyingine kwenye historia.
Taarifa za huyu Mkenya zinasema kwamba alitoweka pindi alipovuka mpaka kuingia Tanzania baada ya kugongewa mhuri na uhamiaji wa upande wa Kenya.
Ilibidi waziri wa mambo ya nje wa Kenya kuingilia kati ndio akaachiwa na kupiga simu akiwa hospitalini Temeke.
----------------------------------------------------

1872396.jpg
Haki Africa deputy executive director Salma Ahmed, Madilo's wife Zeitun Chmiako, father Mohamed Mbetsa and Haki Africa executive director Hussein Khalid hold Hamisa's photo on December 30, 2018. / BRIAN OTIENO

A Mombasa man who was reported missing after entering Tanzania on Christmas Eve has been found.

Hamisi Madilo on Wednesday contacted his father by phone and said he was in a hospital in Temeke, Tanzania.

The father, Mohamed Mbetsa, said his 28-year-old son called him and asked for fare to return home.

“He sounded weak. He did not speak much and said he will explain everything when he gets home. He, however, said it is a long story,” an anxious Mbetsa said.

Family members are on the way to Lunga Lunga-Horohoro on the border of Kenya and Tanzania to receive him.

Haki Africa executive director Hussein Khalid, who is following the case, said Foreign Affairs CS Monica Juma intervened and requested Kenya’s ambassador to Tanzania Dan Kazungu to intervene.

“We were in contact with the ambassador who sent officers to the hospital where they found him. They made arrangements for his return and they put him on a bus to Mombasa,” said Khalid.

Madilo is expected to reach the Lunga Lunga border at around 1pm.

Khalid described Juma’s intervention as professional and attributed the tracing of Madilo to cooperation between the Kenyan and the Tanzanian authorities.

Madilo had gone to Dar es Salaam to buy clothes for sale.

His family said Kenyan Immigration officers cleared him at Lunga Lunga, but he was arrested on the Tanzanian side at Horohoro.

Madilo told his father and wife Zeitun Chimako that he was taken to Duga police Station.

Chimako is eight months pregnant with their first child after the couple got married in March last year.

Madilo has been selling clothes since the time he was at the University of Nairobi, from where he graduated with a degree in Environment and Natural Resources in 2017.

He is an intern at the Base Titanium Company in Kwale.

Mbetsa said he is anxious and does not know what to expect.

“I have not seen my son since before Christmas and I am anxious to see him alive and in sound health,” Mbetsa said on the phone on phone.


Tanzania police release 'missing' Mombasa trader
 
alitekwaa au alishikiliwa na POLISI?
Polisi wa aina gani hao wanaomshikilia mtu bila ya kuweka wazi kwamba yupo mikononi mwao? Wasiojulikana tayari wameshakuwa lege lege, na wasiowajua sasa hivi ni wale ambao hawajijui pia.
 
Back
Top Bottom