Mkenya atengeza game ya yule msee wa bungoma. U must try it!

Kafrican

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
7,251
Reaction score
7,037
After wakenya walitengeneza memes nyingi za yule msee alidandia chopa kule bungoma... sasa kuna game inaitwa bungoma hangman..... at first niliposkia hii story nilithani ni jokes....nime download kutoka Google play store na imebibamba .....

Tafuta Wi-Fi udownload hio game na uijaribu


 
Hahaha ati

" huyu si ule Msee na hii sio ile story "
 
Wakenya kwa ubunifu ni hatari. Lakini hata kama wameweka disclaimer, bora wamkumbuke huyo mlalahoi japo kimya kimya.
 
Sijaelewa hata
It happen in real life. Mluyha flani kule busia alidandia chopper ambayo ilikua imebeba maiti... alikua ywataka kuona mwili kabla upelekwe nyumbani kuzikwa







And later kenyans made jokes about it and made memes to go with it like this one






Alafu sasa kuna mtu ametengeneza game ambayo unadandia chipper alafu you have to move up and down to avoud obstacles while in air or the chopper falls down.



Umeelewa sasa?
 
Thanks very very naamini si mimi pekeyangu bali Muda wote na wengine wengi. .but the guy had guts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…