joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Game sasa imerudi draw😂😂COVID 19, yasawazisha kufikia 4, matoke paka sasa ni
POLISI Kenya.....4
COVID 19..........4
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, hahahaha, hahahaha. Hakikusha hawakujui hapo Nairobi, watakurarua na kukuchanachana kama karatasiGame sasa imerudi draw[emoji23][emoji23]
Ila naona mchezaji mwingine jina nyuma ya jezi lake "Njaa" anafanya mazoezi pembeni ya uwanja anagojea refa apulize firimbi ajiunge na mechi hii..
Dakika ni ya 9', mchezo ni 90'
hahaaa mechi imetoa GGCOVID 19, yasawazisha kufikia 4, matoke paka sasa ni
POLISI Kenya.....4
COVID 19..........4
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inafanya idadi ya watu waliouliwa na POLISI kufikia 4, wakati wale waliokufa kutokana na Corona ni 3.
COVID - 19: 3
POLISI: 4
Bado ndio kwanza tupo dakika za mwanzo za mtanange huu, huenda COVID - 19, ikasawazisha leo, usikae mbali na TV yako kufuatilia huu mchezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
COVID 19, yasawazisha kufikia 4, matoke paka sasa ni
POLISI Kenya.....4
COVID 19..........4
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunaiwezekano mkubwa mshindi kupatikana kwa mikwaju ya penati tano tano, kwasababu kila timu imejizatiti vizuri.
Aisee hivi wale nzige walipoteleaga wapi?...mchezaji mwingine jina nyuma ya jezi lake "Njaa"...
Kwamba wao hawaogopi Covid19Aisee hivi wale nzige walipoteleaga wapi?
Spika Ndugai alivyojaribu kumuuliza kwanini anaitaja Kenya, alibadilisha haraka Sana na kuhamia Ghana baada ya kugundua kwamba Kenya ni kimeo, alikosea njia, hahahaha, hahahaha, hahahahaHuku bongeni bongo kambi rasmi wanalalamika kwanini hamchukui hatua Kama kenya?
Kunaiwezekano mkubwa mshindi kupatikana kwa mikwaju ya penati tano tano, kwasababu kila timu imejizatiti vizuri.
Hahahaha, hahahaha, hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Game sasa imerudi draw[emoji23][emoji23]
Ila naona mchezaji mwingine jina nyuma ya jezi lake "Njaa" anafanya mazoezi pembeni ya uwanja anagojea refa apulize firimbi ajiunge na mechi hii..
Dakika ni ya 9', mchezo ni 90'