Mkenya Peres Jepchirchir aweka rekodi mpya ya Half Marathon, kule GDYNIA, POLAND wiki sita baada ya kuvunja rekodi ya hapo awali

Mkenya Peres Jepchirchir aweka rekodi mpya ya Half Marathon, kule GDYNIA, POLAND wiki sita baada ya kuvunja rekodi ya hapo awali

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Peres-Jepchirchir-wins-2020-world-half-photo-by-Dan-Vernon-for-World-Athletics.jpg


World Half Marathon Championships Gdynia 2020 zilikuwa leo hii kule Poland na mkenya Peres Jepchirchir ameng'aa tena kama kawa. Hii ni baada ya kuweka rekodi mpya(1:05:16 ) na kuvunja rekodi yake mwenyewe kwenye Half Marathon kwa wanawake(1:05:34). Rekodi ambayo aliiweka kwenye Prague Half Marathon wiki sita zilizopita nchini Czech.

Mjerumani Melat Yisak aliibuka wa pili kwenye mbio hizo jijini Gdynia leo hii, huku Mhabeshi Yalemzerf Yehualaw akishika nafasi ya tatu. Wakenya wengine kwenye mbio hizo walikuwa ni Joyciline Jepkosgei, Brillian Jepkorir, Rosemary Wanjiru na Dorcas Kimeli kwenye nafasi za 6, 9, 10 na 11 mtawalia.

Hongera kwake Peres na wenzake pia, kwa kuzidi kuiwakilisha Kenya na kupeperusha [emoji1139][emoji1139][emoji1139] kimataifa.

https://nation.afrika/kenya/sports/...rld-half-marathon-championships-title-2483610
 
Mkalenjin siyo Mkenya, naona Wakalenjin wa Uganda nao wanashinda siku hizi.
 
Peres-Jepchirchir-wins-2020-world-half-photo-by-Dan-Vernon-for-World-Athletics.jpg

World Half Marathon Championships Gdynia 2020 zilikuwa leo hii kule Poland na mkenya Peres Jepchirchir ameng'aa tena kama kawa. Hii ni baada ya kuweka rekodi mpya(1:05:16 ) na kuvunja rekodi yake mwenyewe kwenye Half Marathon kwa wanawake(1:05:34). Rekodi ambayo aliiweka kwenye Prague Half Marathon wiki sita zilizopita nchini Czech.

Mjerumani Melat Yisak aliibuka wa pili kwenye mbio hizo jijini Gdynia leo hii, huku Mhabeshi Yalemzerf Yehualaw akishika nafasi ya tatu. Wakenya wengine kwenye mbio hizo walikuwa ni Joyciline Jepkosgei, Brillian Jepkorir, Rosemary Wanjiru na Dorcas Kimeli kwenye nafasi za 6, 9, 10 na 11 mtawalia.

Hongera kwake Peres na wenzake pia, kwa kuzidi kuiwakilisha Kenya na kupeperusha [emoji1139][emoji1139][emoji1139] kimataifa.

https://nation.afrika/kenya/sports/...rld-half-marathon-championships-title-2483610
Congratulations to our Kenyan girl🇰🇪🇰🇪🇰🇪
 
Mkalenjin siyo Mkenya, naona Wakalenjin wa Uganda nao wanashinda siku hizi.
Hebu rewind, umenikanganya kidogo. Kwahivyo kuna Wakalenjin wa Uganda ila wenzao nchini Kenya wapo 'stateless'? 😕 Sasa mbona mshindi kwenye marathon hizi alikuwa amevalia kits zenye bendera ya Kenya na ambazo zimeandikwa KENYA kwa herufi kubwa? Alafu tena baada ya kushinda alionekana akibeba bendera ya Kenya kwa furaha na mbwembe nyingi, badala ya bendera ya Tanzania? [emoji1]
602x338_cmsv2_65d6a338-2aa7-5498-8fc5-01046aa9897f-5066394.jpg
Explain (20marks)
 
Hebu rewind, umenikanganya kidogo. Kwahivyo kuna Wakalenjin wa Uganda ila wenzao nchini Kenya wapo 'stateless'? 😕 Sasa mbona mshindi kwenye marathon hizi alikuwa amevalia kits zenye bendera ya Kenya na ambazo zimeandikwa KENYA kwa herufi kubwa? Alafu tena baada ya kushinda alionekana akibeba bendera ya Kenya kwa furaha na mbwembe nyingi, badala ya bendera ya Tanzania? [emoji1]
602x338_cmsv2_65d6a338-2aa7-5498-8fc5-01046aa9897f-5066394.jpg
Explain (20marks)

Wakalenjin hawana uhusiano na Wakikuyu acha kujipendekeza. Subiri Msapere mwenzako ashinde ndiyo uanze kujisifia.
 
Wakalenjin hawana uhusiano na Wakikuyu acha kujipendekeza. Subiri Msapere mwenzako ashinde ndiyo uanze kujisifia.
Napenda inavyokuuma kuona bendera ya Kenya ikipeperushwa kimataifa, na bado. Hamna namna jombaa labda kama upo tayari kujitia kitanzi kwasababu ya wivu. [emoji1]
 
Back
Top Bottom