Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
usiwe unaweka malink
As you long as you black MAN.Sasa mmarekani mweusi ni muafrika?
Hao hawajawahi kujiita waafrica ndo maana wana tabia zao za tofauti kabisa na sisi waafrika. Hao sio wenzetu.As you long as you black MAN.
No matter your nationality no mind identity
Your AFRICAN.
-Peter Tosh
Sasa mmarekani mweusi ni muafrika?
Sasa kama yeye nae kalaaniwa inakuwaje watu wanamsikiliza huyo mwenye laana?Mkenya mmoja anaeishi Ulaya kwene interview ameeleza kua waafrica wamelaaniwa. Nayy kuwa mweusi haimfanyi kusema ukweli kwamba waafrica wanalaaana Hii ndio maana katika nchi za waafrica hamna kinachoendelea
Ameenda mbali akidai
Yy akiwa marekani Yuko hatarini kuuliwa na mwamfrica (mmarekan mweusi) mwenzie zaidi ya mweupe.
Wamarekani weusi ndio wanaongoza kutoa mimba marekani kuliko jamii nyingine za wazungu ,na watu wa Asia.Hii inamaanisha waafrica wanachukia sana waafrica wenzao ambao hawajazaliwa.
Je we mtazamo wako ni nini katika hili??
Tazama video chini
Hao hawajawahi kujiita waafrica ndo maana wana tabia zao za tofauti kabisa na sisi waafrika. Hao sio wenzetu.
Watu weusi hawana laana yoyote, asilaumiwe yeyote kwamba amelaani hiki kizazi.
Tatizo/matatizo ya watu weusi yanatokana na nature. Hivi viumbe bado viko kwenye kipindi cha mpito kutoka mnyamapori kwenda binadamu.
Bado sana huyu kiumbe kuweza kujitawala na kutawala.
Akipatikana kiongozi ambaye anajaribu kufanya yanayostahili kufanwa na binadamu....wanamuua!
Watawaliwe tena(miaka itakayoondoa hii hali) tukiwa tunasubiri hicho kipindi cha mpito kiishe.
Sasa kama yeye nae kalaaniwa inakuwaje watu wanamsikiliza huyo mwenye laana?
Kabla sijakujibu.niambie 50 cent ana asili ya nchi gani ya afrika?Ni nani kwan uafrica ni nationality???
Kabla sijakujibu.niambie 50 cent ana asili ya nchi gani ya afrika?
Kabla sijakujibu.niambie 50 cent ana asili ya nchi gani ya afrika?
Ni kweli.ila kwa sasa hao sio waafrika. Maana waliokuwa waafrika halisi ni mababu zao.wa enzi na enzi.ndo maana Black America ukimuuliza Africa kwenu nchi gani hajui.hao wameshajenga utamaduni wao,wana maisha yao tofauti na misimamo tofauti na sisi.ukiacha undugu wa kibinadamu.hao sio ndugu zetu.black America na African people ni watu wawili tofauti kabisa.japo wana asili mojaHistoria ya watu weusi ime kua pinpointed to Africa
Ni kweli.ila kwa sasa hao sio waafrika. Maana waliokuwa waafrika halisi ni mababu zao.wa enzi na enzi.ndo maana Black America ukimuuliza Africa kwenu nchi gani hajui.hao wameshajenga utamaduni wao,wana maisha yao tofauti na misimamo tofauti na sisi.ukiacha undugu wa kibinadamu.hao sio ndugu zetu.black America na African people ni watu wawili tofauti kabisa.japo wana asili moja