The dirt paka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 371
- 68
Wanakwetu habari zaidi. Ni mara ya kwanza kuwepo jukwaa hili baada ya muda mrefu wa kuwa observer tu bila kuchangia.
Jamaa yangu wa karibu kaja na lake jambo. Amekuta mkewe ana urafiki kwenye facebook na boy friend wake wa kwanza (aliyemtoa nanihii..., nadhani wakubwa mmeelewa).
Jamaa issue imemchanganya sana japo hajui kinachoendelea. Kaniomba ushauri nami nikaona kabla ya kumshauri (guidance or counciling) nipate mawazo yenu.
Wewe issue hii ungeichukuliaje, au ungechukua hatua gani?
Naomba mawazo yenu wala si kupotezeana!
Nawakilisha
Wanakwetu habari zaidi. Ni mara ya kwanza kuwepo jukwaa hili baada ya muda mrefu wa kuwa observer tu bila kuchangia.
Jamaa yangu wa karibu kaja na lake jambo. Amekuta mkewe ana urafiki kwenye facebook na boy friend wake wa kwanza (aliyemtoa nanihii..., nadhani wakubwa mmeelewa).
Jamaa issue imemchanganya sana japo hajui kinachoendelea. Kaniomba ushauri nami nikaona kabla ya kumshauri (guidance or counciling) nipate mawazo yenu.
Wewe issue hii ungeichukuliaje, au ungechukua hatua gani?
Naomba mawazo yenu wala si kupotezeana!
Nawakilisha
Mpwa yaani wife eti yuko kwenye FB anachat na X BF wake mkuu kila kitu uanza taratibu baadae ndio tunasikia mambo mengine ingawa watu watabisha sana lakini mimi siafiki kwasababu kinachoelekea kutokea kati ya hao wawili muda si mrefu kitaanza kuonekanampwa kabla sijakuuliza msimamo wa pasaka,hebu nipe msimamo wako kwanza kny hili la x na fcbk
Mpwa yaani wife eti yuko kwenye FB anachat na X BF wake mkuu kila kitu uanza taratibu baadae ndio tunasikia mambo mengine ingawa watu watabisha sana lakini mimi siafiki kwasababu kinachoelekea kutokea kati ya hao wawili muda si mrefu kitaanza kuonekana
Mkuu inawezekana kabisa ila kwa upande mwingine tayari FB imeishakuwa na negative impact kubwa kuliko positive wengi wanaoingia huko sio kwa ajili ya mawasiliano ya kawaida leo hii unachat na EX BF the next day utataka muonane the othercoming days god knows what will happen FB kama social network ilianza vizuri ila tujiulize swali mmoja kwanini FB ina play a major role kwenye kuvunja ndoa za watu kwanini inalalamikiwa sana na wanandoa definitely there is something wrong "Divorce lawyers claim the explosion in the popularity of websites such as Facebook and Bebo is tempting people to cheat on their partners. Suspicious spouses have also used the websites to find evidence of flirting and even affairs which have led to divorce.Mpwa hii maneno haitabiriki bana,ukweli kama wanachat na hawakuachana vibaya lolote laweza kutokea,lkn kwanini tuwe na mashaka na hao x tuu?wife anaweza chat x na asicheat lkn tukumbuke pia ana male friends wengine,lolote si linaweza kutokea??je kuepusha hilo ni nini?tuwazuie kuingia on line au tuwajengee imani ambayo ni chanya maisha yaendelee bila stress?
Kuwazuia sio solution ila kumbuka kuwa kila mtu anakuwa na desires zake, mahusiano mengi yanapoanza FB at the end of the day yana result into an affair wengi wao ndio hao unakuta ni mume wa mtu au mke wa mtuMpwa hii maneno haitabiriki bana,ukweli kama wanachat na hawakuachana vibaya lolote laweza kutokea,lkn kwanini tuwe na mashaka na hao x tuu?wife anaweza chat x na asicheat lkn tukumbuke pia ana male friends wengine,lolote si linaweza kutokea??je kuepusha hilo ni nini?tuwazuie kuingia on line au tuwajengee imani ambayo ni chanya maisha yaendelee bila stress?
Wanakwetu habari zaidi. Ni mara ya kwanza kuwepo jukwaa hili baada ya muda mrefu wa kuwa observer tu bila kuchangia.
Jamaa yangu wa karibu kaja na lake jambo. Amekuta mkewe ana urafiki kwenye facebook na boy friend wake wa kwanza (aliyemtoa nanihii..., nadhani wakubwa mmeelewa).
Jamaa issue imemchanganya sana japo hajui kinachoendelea. Kaniomba ushauri nami nikaona kabla ya kumshauri (guidance or counciling) nipate mawazo yenu.
Wewe issue hii ungeichukuliaje, au ungechukua hatua gani?
Naomba mawazo yenu wala si kupotezeana!
Nawakilisha
Kuwazuia sio solution ila kumbuka kuwa kila mtu anakuwa na desires zake, mahusiano mengi yanapoanza FB at the end of the day yana result into an affair wengi wao ndio hao unakuta ni mume wa mtu au mke wa mtu
Thumbs up mkuu, dah zapa mkuu tufanye Vodka Ciroc unasemaje hapo?hapa mkuu umenena,mimi naona kikubwa tujenge trust...point yangu ni kuwa hata nikimdoubt leo kuwa wife wangu or galfriend anachat na x wake!bado kuna wanaume wengine wengi anachat nao mbali ya huyo x ambao kama si mwaminifu anaweza toka nao pia,vile vile isiangaliwe upande mmoja hata sisi tunachat na x na wanawake wengine pia so kikubwa tujenge kuaminiana,kama kucheat asiye mwaminifu aweza cheat hata akiwa anaenda fellowship! Tupeane uhuru na kuaminiana(inatosha)...pasaka for a zapa instead of bakardi?
Thumbs up mkuu, dah zapa mkuu tufanye Vodka Ciroc unasemaje hapo?
Ikikosekana we go for BLUE LABELhahaha!vodka imetulia,itabidi nifanye logistic tupate moja for a season
hapa mkuu umenena,mimi naona kikubwa tujenge trust...point yangu ni kuwa hata nikimdoubt leo kuwa wife wangu or galfriend anachat na x wake!bado kuna wanaume wengine wengi anachat nao mbali ya huyo x ambao kama si mwaminifu anaweza toka nao pia,vile vile isiangaliwe upande mmoja hata sisi tunachat na x na wanawake wengine pia so kikubwa tujenge kuaminiana,kama kucheat asiye mwaminifu aweza cheat hata akiwa anaenda fellowship! Tupeane uhuru na kuaminiana(inatosha)...pasaka for a zapa instead of bakardi?
Mimi na ex wangu ashapata mme na huyo mme alininyang'anya nikawa mpole hisa yuaja tunakumbushia nikipiga simu aje anakuja hamna tatizo kabsa.mmewe akipiga sm wakati tunado tu anasema 'sweet bado nko job darlin'
hamna tabu azoee tu huyo.
Nami na kisasi changu lazma ex nizae nae.
Hahaha.i bet my left testicle jamaa anamegewa