Mkeo ameanzisha urafiki na Ex-boy friend wake wa kwanza

Elungata;1884490]Mimi na ex wangu ashapata mme na huyo mme alininyang'anya nikawa mpole hisa yuaja tunakumbushia nikipiga simu aje anakuja hamna tatizo kabsa.mmewe akipiga sm wakati tunado tu anasema 'sweet bado nko job darlin'
hamna tabu azoee tu huyo.
Nami na kisasi changu lazma ex nizae nae.
Hahaha.i bet my left testicle jamaa anamegewa



Kwa hiyo unajiona babu kubwa kulala na wake za watu? Kumbuka mla uliwa..... na wewe ukiowa ujuwe mkeo atakuwa analiwa na ma-X wake. Ngoja ujisifie tu kwa kulala na wake za watu, wako atazalishwa mapacha ndo uone balaa lake
 
The Finest;1882563]Mpwa yaani wife eti yuko kwenye FB anachat na X BF wake mkuu kila kitu uanza taratibu baadae ndio tunasikia mambo mengine ingawa watu watabisha sana lakini mimi siafiki kwasababu kinachoelekea kutokea kati ya hao wawili muda si mrefu kitaanza kuonekana

Kuaminiana kupo lakini lazima uchukuwe taadhari. Ni rahisi sana kwa watu waliokuwa wanapo pamoja wakaachana kurudiana tofauti na kuanzisha mahusiano na mtu mpya ambaye hawakuwa kuwa na mapenzi. Usijekujindanganya kumwachia uhuru kiasi hicho kwa kigezo cha kuaminiana.... utakuja kugundua mtu kashakanyagwa tayari, Internal controls hata kwenye ndoa zipo kuepusha/kupunguza mianya ya kuibiwa
Hii yote ni kwa sababu unampenda mkeo ndo maana unaangalia mienendo yake. Kama mkeo anaona ni sawa wewe kuendelea kuwasiliana na X-Wako basi ujuwe na yeye anaendelea kuwasialiana na wake. Hivi unaweza kuniambia kuna urafiki wa Kawaida kwa watu waliokuwa Wapenzi kama siyo kudanganyana? Ni mda na nafasi tu haviruhusi lakini ni rahisi sana moto kulipuka pindi hawa watu wakikutana mahari ambapo mazingira yanaruhusu. Huwa siendekezi tabia za kuwa na mawasiliano na X-G najuwa madhara yake ni makubwa ....usipime. Mwingine kaolewa anakupigia/Kutext anakwambia nimekumisi.... wakati tayari una mke na watato si kutegana huko? Mengine hayasemwi lakini ma-X s ni hatari katika ndoa......Tuwaepuke ili kulinda na kudumisha ndoa zetu!
 
 
Mwambie kuwa atulie akigundua wanamahusiano ya kukaa bila nguo aachane nae
hehehe yaani akae asubiri mpaka jamaa afuje ndio jamaa arekebishe sio?, No wonder ndoa za siku hizi hazidumu. Mleta mada mwambie jamaa yako ashikishe heshima huyo mdada bana, ikiwezekana amtimue kabisa huko facebook , hakuna urafiki wa ma exes, Puuza huu ushauri wangu na utakuja kuanzisha sredi karibuni hapa jamaa keshakula mzigo.
 

Vipi na huyo rafiki yako ana urafiki na wapenzi wake wa zamani?
 

Mwambie jamaa aache ushamba!
 
Pole sana "WIVU" ni kero kwa ndoa nyingi sana, na nikihesabu migogoro inayoendelea kwenye ndoa nyingi chanzo chake ni wivu. Haya wewe mleta mada, chanzo cha huyo bwana kufikiria eti mkewe yuko na exboy ana uhakika gani? Lete eveidence fasta. Kama ni wivu mwambie aache kufatilia upumbavu atavunja ndoa yake bila sababu. Face book ni sehemu ya kusalimia na kukuta na marafiki kama hapa JF, ina maana hata adui ukikutana nae facebook inaweza kuwa chanzo cha kuresolve matatizo au mkaongea na kusahau matatizo yaliyopo.

Wanawake na wanaume wengi wa kisasa wako possessed na pepo la WIVU, kwa taarifa yenu hili tatizo bila kuomba nakwambiia haliwezi ondoka sana sana mpaka shetani akutie aibu, that means mnaachana kufurahisha watu.

Wenye wivu wote, fungeni siku tatu kavu huku ukimwambia mungu akutoe kwenye kifungo cha wivu usiokuwa na uhakika.
 
I hate facebook sijui kwa nini, madhara ni mengi yanatokea na faida pia ni nyingi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…