Mkeo au Mmeo ni yule ambaye hamkubaliani kwa mengi

Mkeo au Mmeo ni yule ambaye hamkubaliani kwa mengi

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Najua mtashangaa sana,lakini mwenza wako ambae ndio mtaishi nae kwa amani na furaha na hatimae mtazikana, ni yule ambae hamkubaliani kwa mengi, lakini mnakubaliana machache ambayo ndio msingi wa ndoa yenu.

Msitafute mwenza ambae mnakubaliana mengi, ndoa haitadumu.
 
Ni kweli, Lazima mkeo apinge baadhi ya maamuzi na mapendekezo kwenye familia,hali kadhalika kwa mwanaume.

Ikiwa kila mnachowaza na kushauriana mnakubaliana, matokeo yake ni kuingia kwenye style ambazo jamii haifanyi.

Hebu fikiria unatoka zako huko vijiweni na stori za kwenye kahawa unamshauri mkeo kuwa leo tutumie mlango wa uani naye anakubali tu.

Mkeo naye anakuja na wazo kuwa tuuze hiki nawe unakubali.

Aaaaargh
 
Halafu Kuna sisi wa " you're Right".
Means hakunaga kitu kinaitwa balance kwenye ndoa. Wanaume tuna logic Sana na Wanawake wanaongozwa na feelings. Kuepusha Shari za Mara kwa Mara, mm nimeshazoea kumwambia mke wang " you're right"
 
Back
Top Bottom