Huo mshahara unaanza mwezi gani?Wadau nwakaribisha katika mkesha wa mshahara mpya baada ya mama kupiga mwingi...
Yeyeote mwenye interest aje inbox..
Mwaka wa fedha ni July boss usije kufanya sherehe ambayo ni prematureMwezi huu mkuu...
Kama vile wewe huamini kabisa nyongeza inaweza badilisha maisha yakoNi Punguani pekee anayeamini nyongeza ya mshahara inaweza kumsaidia kujikwamua na umaskini.
SawaMkuu nyongeza inategemeana na level ya mshahara...Kuna watu watalamba nyongeza hadi ya milioni Moja hapo..so don't underestimate
π π π acha wivu basi β¦β¦ wewe soma tangazo then nenda locationSasa hiyo elfu 60 uliyoongezewa ndiyo imekupa wenge kiasi hicho?
Atawaparura sasa hivi maana wanampara...Dah π€£π€£π€£π€£
πππππAtawaparura sasa hivi maana wanampara...