Mkewe RZ1 alipopata uwakili

tanzania eee nchi yao eee hatukuupendi eeeee:...................................................
 
hapa si ikulu hapa jamani...hivi hawa nao wanakaa humu ikulu au walienda kwa mzee kumuonyesha cheti cha uwakili???
 
I hate the young boy...RZ1 ...hivi naye ni Rais?????pumbaf....
 
Aligawiwa kama RIZ1 aliyogawiwa na kama Baba RIZ1 anayogawiwa U-Dokta! Shame on them!

Iteitei Lya Kitee, good know umesoma na Arafa.
Naomba unipelekee na hongera zangu kwake.

Shame on us. Arapha ni mpiganaji kwenye maswala ya kitabu tumesoma nae darasa moja. Shes hardwaorking. Sijui mnachana nn dada wa watu. Sometimes tuweke majungu pembeni na chuki binafsi hasa tunapojadili mada kama hizi. Yuko Rex Artony na ni mchapakazi mzuri.
 
Husuda mbaya jamani. Hebu furahini munapoona mwenzenu kafanikiwa ili nany pia mufanikiwe na watu wawafurahie. Hongera sana dada.
 

Nguli & Others nenda mkasome kitabu cha Malcom Gladwell kinachoitwa "Outliers" - mkimaliza mpeni pongezi Arafa/Riz1/ and the likes - Hard working ni relative term - Tusiharibu maana yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…