Mkhitaryan yuko poa kuliko Sanchez kwenye mfumo wa Wenger

Abubakar Abdallah

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2017
Posts
281
Reaction score
170
Hicho ndicho ninachokiamini,mkhtaryan ana timu spirit na ni mwepesi kuendana na saikolojia ya wenzake,pia ana penetration pas....ni mwepes pia.....sanchez anapambana lakini hana uwezo wa kuendana na wenzake,yeye yupo kivyake vyake...mpaka ashindwe kwenda ndo atoe pas,kwangu mkhtaryan anafit zaid kwa wenger kuliko sanchez....
 
Lugha kwako tatizo mkuu pole since= tangu huo msimu had sasa maana kaondoka ni mwamba ktk timu ya arsenal means kazidiwa assist 6 na ozil tu
Kwa hio unaamin kwa mchezaj amefikia kiwango kikubwa sana kwa miaka hio yote?
 
Lugha kwako tatizo mkuu pole since= tangu huo msimu had sasa maana kaondoka ni mwamba ktk timu ya arsenal means kazidiwa assist 6 na ozil tu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] only the word since is used to test the language competence?
 
Lakini sanchez ni wa kawaida sana na hizo,goalz na assist zitashuka akiwa old t hasa akiwa na jozee
 
Mleta mada anajaribu Ku apply defence mechanism (coping strategies)

Sanchez yuko vzr aisee
 
Mleta mada anajaribu Ku apply defence mechanism (coping strategies)

Sanchez yuko vzr aisee

Anajipoza machungu huyu pia suala la usajili sio la kulopoka lopoka sijui wakiwa flop atafanyaje? Watu wapo kimya wanasubili waone vitu uwanjan haya ya hisia hayana maana kila mmoja hajui matokeo ya usajili wake sanchez na mkhitaryan tusubili tuone nani kafaidika kwa sasa ni ramli tu
 
Mleta mada anajaribu Ku apply defence mechanism (coping strategies)

Sanchez yuko vzr aisee
Sawa,lakini bado sanchez ni wa kawaida sana tofaut na sifa anazopandikizwa nazo...kwangu hana utofaut na artulo vidal, pia sanchez alifaa sana acheze sita...
 
Hata kupiga chenga ni suala analolazimisha sana lakini bado c mwepesi kwenye hilo...narudia akifanya utani kwa josee yatamkuta ya valencia na young,atatumika zaidi kwa ajili ya kukaba japo hatopewa ubeki rasmi....
 
Iv utashindwa kupredict perfomance ya coutnho pale fcb?
 
Sawa,lakini bado sanchez ni wa kawaida sana tofaut na sifa anazopandikizwa nazo...kwangu hana utofaut na artulo vidal, pia sanchez alifaa sana acheze sita...
Mpira na unafiki ni uji na mgonjwa kocha wako kwa nini alikuwa anamlazimisha kusain mkataba kama kawaida?

Kwa nini hakumlazimisha walcot au Francis Coquelin?
 
Iv utashindwa kupredict perfomance ya coutnho pale fcb?

Dzeko alifeli man city leo anatakiwa na chelsea arjen rubben madrid to buyern ozil si mnae huko arsenal alietoka madrid au? Kama bora kwa nn aliachwa?
 
Dzeko alifeli man city leo anatakiwa na chelsea arjen rubben madrid to buyern ozil si mnae huko arsenal alietoka madrid au? Kama bora kwa nn aliachwa?
Bad lucky zipo ila uwezo wa mtu unabaki palepale......hapa tubaki kwenye uwezo tu wa mchezaji na c vinginevyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…