Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Zoezi la nduuugu wa marehemu kugombania mali limekua likiongezeka kila iitwapo leo
Ingawa asilimia chache hufanikiwa ila wengi huteseka sana amahakaman
Ushauri ukiona umeanza kuchoka wakumbuken na wadogo zenh maana mkifa wanakuja nammishale kama wametafuta wao na kufanya watoto kuteeeseka
Na makanisan hao mnaopokea masadaka makubwa kubwa na mazaka yao muwakumbushe kusaidia ndugu zao wakiwa hai
Wakifa vita inaamia kwa watoto inasikitisha sana kuona baba mdogo ama kina shangazi wanalilia viwanja vyaa nduguzao ..hatare lakini sanalama
Nawatakia kheri marehemu watarajiwa wote tuwe hai 2024 tuone uchaguzi wa 2025
Ingawa asilimia chache hufanikiwa ila wengi huteseka sana amahakaman
Ushauri ukiona umeanza kuchoka wakumbuken na wadogo zenh maana mkifa wanakuja nammishale kama wametafuta wao na kufanya watoto kuteeeseka
Na makanisan hao mnaopokea masadaka makubwa kubwa na mazaka yao muwakumbushe kusaidia ndugu zao wakiwa hai
Wakifa vita inaamia kwa watoto inasikitisha sana kuona baba mdogo ama kina shangazi wanalilia viwanja vyaa nduguzao ..hatare lakini sanalama
Nawatakia kheri marehemu watarajiwa wote tuwe hai 2024 tuone uchaguzi wa 2025