Mkiambiwa maisha ni magumu awamu ya sita muelewe

Mkiambiwa maisha ni magumu awamu ya sita muelewe

Kwa kweheli huyo mhumbwa anaroho humbaya kuwapihita hata matahaga ya lumuhumba...kwavihile tu matahaga wanataka hinchi wale peke yaho wakat yehetu sohote.
 
Kwa kweheli huyo mhumbwa anaroho humbaya kuwapihita hata matahaga ya lumuhumba...kwavihile tu matahaga wanataka hinchi wale peke yaho wakat yehetu sohote.
Mkuu za tangia jana, naona bado unakandikija.......
 
Hali mbaya or nzuri si tatzo la awamu iliyopo madarakani mkuu.
Maisha n bahati tu.
Kipind kile baadhi ya watu wanasema kwa jakaya mambo yalikuwa mterere, kwa wengne yalikuwa kitendawili, kwa magu watu walilia bt wengine walifurahi na kwa awamu hii unavosema n ngumu, kwangu binafsi mambo n mazuri kuliko kawaida.

So life is all about luckies.
 
Hivi ni lini maisha yaliwahi kuwa mepesi

Maisha magumu tokea enzi zileeeeee

Kikubwa ujue kuendana na biti tu

Ova
 
kila mtu apambane na hali yake tu

67AD1F1C-D2E4-4BF3-9D8E-13299946FE66.png
 
Back
Top Bottom