GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Tumewaachia ili msiparurane
2. Tumewaachia ili mjifariji
3. Tumeshakuwa Mabingwa kwa 90% hivyo hatutaki kutumia Nguvu Kubwa
4. Tumechezesha Kikosi cha Watoto
5. Uchovu umetugharimu
6. Wachezaji wetu wengi ni Waislamu na wako katika Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
7. Tumechoka Kuwafungeni hivyo tuliamua Kuwaachia ili nanyi mtufunge Safari hii mfurahie kwa Kutufunga Kwenu ndiyo Kombe lenu ila siyo hili la NBC Premier League.
Msipofungwa Jumapili nendeni mkatambike huko kwa Waganga wenu wa Kienyeji yule wa Morogoro ( Kilosa ) anayezicheza ( anayewarogeeni ) sana Mechi zenu za Ligi ( NBC ) na yule wa Kigoma ambaye huwa anazicheza ( anawarogeeni ) sana Mechi zenu za CAFCC.
Mnakufa Jumapili mtake msitake Ok?
2. Tumewaachia ili mjifariji
3. Tumeshakuwa Mabingwa kwa 90% hivyo hatutaki kutumia Nguvu Kubwa
4. Tumechezesha Kikosi cha Watoto
5. Uchovu umetugharimu
6. Wachezaji wetu wengi ni Waislamu na wako katika Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
7. Tumechoka Kuwafungeni hivyo tuliamua Kuwaachia ili nanyi mtufunge Safari hii mfurahie kwa Kutufunga Kwenu ndiyo Kombe lenu ila siyo hili la NBC Premier League.
Msipofungwa Jumapili nendeni mkatambike huko kwa Waganga wenu wa Kienyeji yule wa Morogoro ( Kilosa ) anayezicheza ( anayewarogeeni ) sana Mechi zenu za Ligi ( NBC ) na yule wa Kigoma ambaye huwa anazicheza ( anawarogeeni ) sana Mechi zenu za CAFCC.
Mnakufa Jumapili mtake msitake Ok?