Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Tokea juzi ninapata shida kupata access ya kuingia inanigomea si kwa simu wala computer.
Shida ni nini?
Pia soma:
www.jamiiforums.com
Shida ni nini?
Pia soma:
BRELA kufanya maboresho ya Mfumo wa Usajili kwa njia ya Mtandao (ORS) Disemba 20 mpaka 23, 2024
Wakuu, TAARIFA KWA UMMA CHANGAMOTO ZA MFUMO WA USAJILI KWA NJIA YA MTANDAO (ORS) Dar es Salaam-19 Desemba, 2024 Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuutaarifu umma na wadau wake kuwa inatarajia kufanya maboresho ya miundombinu ya mfumo wake wa usajili kwa njia ya mtandao...