britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Kabisa kawawajibisha barcHuyo dogo Boateng wa Levante yuko vizuri. Jana amewapiga Barcelona goli tatu na kuwa Man of the Match. Ni kipaji kinachoendela kuimarika na kitakachouzika
Hahahapo kwa JB lugha ipi ilitumika kuomba selfie
HahahaPicha ya juu jamaa linaonekana kama limepagawa kupiga selfie na Coutinho
Kabisa kwamba hata Magufuli akikutana na Trump anaomba selfie, kama KIKWETE alivyokuwa anaomba kwa ObamaHiyo ni according to law of nature
It dependsNimuombe msanii wa kibongo selfie? Kwa ubora gani wa kazi zao wanazofanya?
Yap simple like that, mtu mfupi lazima unyanyue uso umuone mrefuKabisa kwamba hata Magufuli akikutana na Trump anaomba selfie, kama KIKWETE alivyokuwa anaomba kwa Obama
Trump wa kwa mtogoreTrump alishawahi kuniomba tupige selfie.
Ahhahaahhaha htaa mi siweziYaani mi nimuombe JB kupiga selfie? Poh.