omari londo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 1,793
- 1,774
Eti kuomba picha na bongo muvi dah aiseeeHii Picture ya juu JB katufedheesha mashabiki wa Barca walai, khaaa!!!, bora Messi hajamkuta mana sijui hata ingekuwaje haki ya mungu!!!.
[Kila boss ana boss wake]Kila star Ana star wake
Hapo ni JB Jacob Steven akiwa anafurahiii kukutana na coutinho,
Picha Nyingine ni FA na boateng
Mara nyingi anayecheka na kufurahi sana ndo anakuwa naomba selfie,
Pia anayemg'ang'ania mwenzake kwa mkono au kumbumbatia ndo kaomba hivo,
Tunataka wakati mwingine wakikutana nao wasionekane kuwapapatikia, inabidi coutinho aombe selfie na JB
View attachment 777040 View attachment 777041 View attachment 777042
Yaaan siku boateng akija bongo akaenda kwenye show ya fa yeye ndo ataomba selfie...kwakuwa yupo eneo lake la kujidai wacha aombwe selfieKila star Ana star wake
Hapo ni JB Jacob Steven akiwa anafurahiii kukutana na coutinho,
Picha Nyingine ni FA na boateng
Mara nyingi anayecheka na kufurahi sana ndo anakuwa naomba selfie,
Pia anayemg'ang'ania mwenzake kwa mkono au kumbumbatia ndo kaomba hivo,
Tunataka wakati mwingine wakikutana nao wasionekane kuwapapatikia, inabidi coutinho aombe selfie na JB
View attachment 777040 View attachment 777041 View attachment 777042
Tena na stivu NyerereEti kuomba picha na bongo muvi dah aiseee
kabisaaa..halafu coutinho hana hata habari ""Picha ya juu jamaa linaonekana kama limepagawa kupiga selfie na Coutinho
huu upuuzi "" kuna baadhi wanauweza...binafsi umenishinda """ sio kama wanajpya...Yaani mi nimuombe JB kupiga selfie? Poh.
pesa nyingi mkuu anazoMbona huyo mzungu kanuna sana!! Jb asingepost tu
hahaha don't be like that yaani ukatae selfie na bonge la bwanaAhhahaahhaha htaa mi siwezi
Huyo dogo Boateng wa Levante yuko vizuri. Jana amewapiga Barcelona goli tatu na kuwa Man of the Match. Ni kipaji kinachoendelea kuimarika na kitakachouzika
HahahaaYaani ni sawa na uje nyumbani halafu mi ndo nikupigie hodi haipo hiyo
Kama Kanye West alivyoomba selfie na ChibuKama cortinho ni shabiki wa drake akikutana nae na yeye anaomba selfie
NitatafitiSorry siku hizi niko mbali kdg na mambo ya soka. Boateng hii ni ndugu na zile zingine mbili za Ujerumani/Ghana au ni majina tu?
Unamaanisha Shishi trump au?Trump alishawahi kuniomba tupige selfie.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] vitu vingine ni kujitafutia nuksi tuuuTena na stivu Nyerere
Duh really????Kama Kanye West alivyoomba selfie na Chibu