Mkimaliza ziara tunaomba gharama za mafuta za msafara wa Raisi

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Salama wandugu
Mama yupo mtaani akifungua baadhi ya miradi na kuona maendeleo ya nchi.
Sasa si vibaya sana tukapewa gharama yote ya mafuta ya msafara wake
Kupata gharama hizo tuweze kutoa ushauri magari yapunguzwe au yafungwe mifumo gesi asilia yote .
Haileti maana bei ya mafuta IPO juu lakini mama anazunguruka nchi nzima utafikiri magari yanatumia maji.
 
Bajeti ya Ofisi ya Rais Ikulu ni nono na CAG huwa hafanyi auditing huko
 
Hizo ndiyo zinaitwa gharama za uendeshaji.
 
Unataka kuchangia mafuta?

Ziara za rais ni majukumu ya kikazi ujue
 
Mafuta yako juu na Kuna watu wa kawaida kutwa kukicha wanazurura na magari itakuwa Rais !!?.Tafuta pesa bei ya mafuta sio kubwa
 

Rais Samia: Hili nalo muende mkalitizame​

 
Sukuma gang wanateseka sana,mbona wakati wa mungu wenu pamoja na msafara mkubwa pia alikuwa akigawa hela njiani lakini hamkuwahi kuhoji? Chuki zenu zitawaumiza wenyewe.
 
Yuko njiani na mawaziri 12 .
Mama kama alisoma hesabu basi alipata F
 
Wasisahau kuambatanisha na risiti za manunuzi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mwacheni Mama afungue nchi😁😁
 
Watu wanakula posho hapo, ile nyongeza iliyoota mabawa itakuwa inatumika huko....
 
Upewe wewe kama nani? Na ilinufanyaje?
 
Nyie SUKUMA GANG mna roho mbaya Sana...mbona enzi za yule sadist wenu hamkutaka kuletewa badget ya mafuta?
NB: mwacheni rais afanye kazi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…