Mkinga yu smart!!

Mkinga yu smart!!

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Namfuatilia Kipima Joto ITV. Hoja ya Tanesco kutotoa huduma japo wateja wapo tayari kulipia lakini umeme hakuna, sababu kibao.Huyu jamaa Mkinga staili yake ya kutoa hoja ni ya kizalendo haswa, anagenga hoja kwa hisia kali kuhusu Dowans na Richmond.
 
Back
Top Bottom