Mkipewa Ushauri Lazima Mkubaki, Kila Analo Jihusisha Makonda Linakosa Baraka

Mkipewa Ushauri Lazima Mkubaki, Kila Analo Jihusisha Makonda Linakosa Baraka

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Serikali imeonywa mara nyingi kuhusu huyu Makonda kuwa mikono yake ni michafu kila atakalo gusa linakosa Baraka ila inadharau.
TFF nayo ikaingia mkenge, sasa ni wakati wa mavuno acha tuvune mabuwa tukiwa na maumivu makali moyoni sababu ya kubeba gunia hilo la misumari
 
Serikali imeonywa mara nyingi kuhusu huyu Makonda kuwa mikono yake ni michafu kila atakalo gusa linakosa Baraka ila inadharau.
TFF nayo ikaingia mkenge, sasa ni wakati wa mavuno acha tuvune mabuwa tukiwa na maumivu makali moyoni sababu ya kubeba gunia hilo la misumari
Nimelisema hilo mara nyingi hapa jukwaani, Bashite ni failure in every aspect, chochote agusacho ni failure
 
Kenya mmejua kunifurahiisha,kenyaa.Dadioooo!
 
Serikali imeonywa mara nyingi kuhusu huyu Makonda kuwa mikono yake ni michafu kila atakalo gusa linakosa Baraka ila inadharau.
TFF nayo ikaingia mkenge, sasa ni wakati wa mavuno acha tuvune mabuwa tukiwa na maumivu makali moyoni sababu ya kubeba gunia hilo la misumari

Hii ninayoiweka hapa chini nimekutana nayo muda si mrefu katika Mitandao ya Wakenya na sijui hapa walikuwa wakimaanisha nini Kiongozi....

" Watanzania bana...yaani Wao walidhani kutuletea Yule Kiongozi wao wa Mkoa mwenye Kiherehere, Matege ya Ubanio na Matako ( Makalio ) makubwa kuliko hata Dada zetu wa Kikenya ndiyo angetutisha Wakenya na Harambee Stars yetu ili tushindwe Kuwafunga? "

Ama kweli Wakenya wana Matusi ya Reja Reja mno!
 
Kupewa na kusimamia majukumu ya uovu - kuteka, kushambulia na kupoteza, kamwe hatakuja kufanikiwa kwa lolote. Damu za wasio na hatia huleta laana.
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]Mimi wala sijaumia maana sitakagi unaafiki mimi
Maumivu unayo wewe

Watanzania wengi tulikua harambee stars leo

Jamani
Amkeniii amkeniii bwanaaa CCM stars wamefungwa tena bwanaa uuuuuu hahaha
Umeona eeehhh!!!
 
Timu ya taifa haijafungwa sababu ya Makonda Bali haijui kucheza mpira. Timu hata kupiga pasi tano kuelekea kwa adui haiwezi unategemea nini?
 
Amunike anakula mshahara wa bure pale T-Stars ..
 
Serikali imeonywa mara nyingi kuhusu huyu Makonda kuwa mikono yake ni michafu kila atakalo gusa linakosa Baraka ila inadharau.
TFF nayo ikaingia mkenge, sasa ni wakati wa mavuno acha tuvune mabuwa tukiwa na maumivu makali moyoni sababu ya kubeba gunia hilo la misumari
makonda wa sasa ni kama mm nlivyokuwa wakati niko secondary
 
Serikali imeonywa mara nyingi kuhusu huyu Makonda kuwa mikono yake ni michafu kila atakalo gusa linakosa Baraka ila inadharau.
TFF nayo ikaingia mkenge, sasa ni wakati wa mavuno acha tuvune mabuwa tukiwa na maumivu makali moyoni sababu ya kubeba gunia hilo la misumari
 
Back
Top Bottom