Mkisha chokana Ndani ya nyumba!!

Mkisha chokana Ndani ya nyumba!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Tumechokana.jpgFull uzio!!
 
kwanini ndoa nyingi zinakuwa hivi siku hizi? jawabu ni kuwa watu wengi wamemsahau mungu na kuacha mawazo yao yatawale nyumba zao. maranatha wana jf wote.
 
Sasa hapo jaribu ku transpass into the 'boobsland' ndo utaona cha mtemakuni!.
 
Hiyo tisa kumi ni huyu jamaa aliyemchoka mkewe...

Hahahahahaha njemba inapiga mahesabu ya kuruka uzio na kisha kuziondoa WMD ili angalau akutane na nyeti hata kama ni kuziangalia tu LOL!
 
Back
Top Bottom