Mkitaka Jenerali Ulimwengu anyamaze na awe anawapigieni Makofi ya Heko mkiwa Magogoni na Chamwino fanyeni haya...

Mkitaka Jenerali Ulimwengu anyamaze na awe anawapigieni Makofi ya Heko mkiwa Magogoni na Chamwino fanyeni haya...

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
1. Msiwe Mazuzu ( Majuha )

2. Acheni Vitisho na Ubabe

3. Tubuni Dhambi zenu nyingi kwa Mola

4. Acheni kuwa Wanafiki Waandamizi

5. Tambueni ufahamu mkubwa wa Watanzania wa leo

6. Muhubirini Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa Vitendo na siyo maneno matupu

7. Jibiidisheni sana Kusoma Machapisho mbalimbali ili kuongeza ufahamu wenu mdogo ulioishia tu kuijua Bahari ya Hindi, Mazingira yake pamoja na Muungano wa wenye Visogo ( Vichogo ) na wale wasiokuwa navyo.
 
Hata ufanye ayo yote bado ataendelea kukosoa maana binadamu hajawahi LIZIKA
 
Mwaka jana... hakuna Corona kwa sababu ya maombi ..... mwaka huu tuchanjwe Corona IPO? Nyie mabisha
Tupige kura za kutosha tuwatoe lakini kwa yale matapeli yanayo jibanza ughaibuni endeleeni na dozi!
 
1. Msiwe Mazuzu ( Majuha )

2. Acheni Vitisho na Ubabe

3. Tubuni Dhambi zenu nyingi kwa Mola

4. Acheni kuwa Wanafiki Waandamizi

5. Tambueni ufahamu mkubwa wa Watanzania wa leo

6. Muhubirini Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa Vitendo na siyo maneno matupu

7. Jibiidisheni sana Kusoma Machapisho mbalimbali ili kuongeza ufahamu wenu mdogo ulioishia tu kuijua Bahari ya Hindi, Mazingira yake pamoja na Muungano wa wenye Visogo ( Vichogo ) na wale wasiokuwa navyo.
Wafuate na kuitii katiba na sheria za nchi. Covid 19 sio wabunge halali. Bunge la mazuzu.
 
1. Msiwe Mazuzu ( Majuha )

2. Acheni Vitisho na Ubabe

3. Tubuni Dhambi zenu nyingi kwa Mola

4. Acheni kuwa Wanafiki Waandamizi

5. Tambueni ufahamu mkubwa wa Watanzania wa leo

6. Muhubirini Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa Vitendo na siyo maneno matupu

7. Jibiidisheni sana Kusoma Machapisho mbalimbali ili kuongeza ufahamu wenu mdogo ulioishia tu kuijua Bahari ya Hindi, Mazingira yake pamoja na Muungano wa wenye Visogo ( Vichogo ) na wale wasiokuwa navyo.
Ndugai ndio anatia aibu kabisa
 
Hata ufanye ayo yote bado ataendelea kukosoa maana binadamu hajawahi LIZIKA
Mwanadmu ana ridhika sana tu!.... ila hadhira ndo ina dhana dhanifu na potofu ya ya kuto ridhika kwa Mwanadamu! na hii haiepukiki!! mifano ipo miiingi sana!
 
1. Msiwe Mazuzu ( Majuha )

2. Acheni Vitisho na Ubabe

3. Tubuni Dhambi zenu nyingi kwa Mola

4. Acheni kuwa Wanafiki Waandamizi

5. Tambueni ufahamu mkubwa wa Watanzania wa leo

6. Muhubirini Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa Vitendo na siyo maneno matupu

7. Jibiidisheni sana Kusoma Machapisho mbalimbali ili kuongeza ufahamu wenu mdogo ulioishia tu kuijua Bahari ya Hindi, Mazingira yake pamoja na Muungano wa wenye Visogo ( Vichogo ) na wale wasiokuwa navyo.
Hasa hiyo namba moja
 


Washirikina mkiambiwa ukweli nyoyo zenu hufura kwa ghadhabu hususan Miungu yenu bandia inapoguswa.

Nyerere will always be remembered and revered as father of nation, stateman, international figure etc, as a human being along with his political achievements he was also overtaken by flaws and shortcomings in some places, let's be careful not to raise him to the status of God.
 
1. Msiwe Mazuzu ( Majuha )

2. Acheni Vitisho na Ubabe

3. Tubuni Dhambi zenu nyingi kwa Mola

4. Acheni kuwa Wanafiki Waandamizi

5. Tambueni ufahamu mkubwa wa Watanzania wa leo

6. Muhubirini Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa Vitendo na siyo maneno matupu

7. Jibiidisheni sana Kusoma Machapisho mbalimbali ili kuongeza ufahamu wenu mdogo ulioishia tu kuijua Bahari ya Hindi, Mazingira yake pamoja na Muungano wa wenye Visogo ( Vichogo ) na wale wasiokuwa navyo.
wakiyafanya haya namimi nitawaunga mkono.

Wasiwasi wangu lile bunge la mwendakuzimu halina baraka yoyote. Litakaa hadi 2025 bila faida yoyote. Bunge la Damu
 
Back
Top Bottom