Mkitaka Kagame na Museveni 'wasiishambulie' Congo DR na nyie acheni 'Unafiki' na kuwasaidia 'Waasi' wa 'Kihutu' na Burundi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
 
Tak.ataka
 
Toa ushahidi wa madai yako kiongozi, other wise itabaki kuwa ni dhana, na dhana haileti haki wala ukweli halisi wa jambo. Toa ushahidi juu ya ulichokisema
 
Uoga wako tu Popoma
 
Hangover
 
Kaka kiherehere Kwa Tz ni kipaumbele.😂😂
 
Kweli majeshi ya nchi uliyotaja ndiyo imara?Nchi gani inapeleka msaada kwa whiyo nchi uliyotaja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…