kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Eeh bwana kuna ishu gani hukoSiku nyingine jaribu kuwa muwazi usaidiwe. Kuna information kadhaa ni muhimu kwa mfano una ujuzi gani/elimu yako/umri wako na mengineyo however, maeneo kama Babati/Magugu, Mafinga, katoro/Buselesele ni maeneo unayoweza kuanza upambanaji bila mtaji. All the best
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ifakara sehemu gani bossNenda Ifakara kalime mpunga , kwa hali ya hewa ilivyo mvua zinanyesha mwaka mzima. Na maisha yapo chini kuna watu waliondoka wakiwa zeo wakaenda huko kwa sasa wana maisha yanayoeleweka na wanaendelea na kilimo. Kama unataka connection karibu PM.
Nilime mara ngapi mzee wiki ijayo natoa gobo ya mvua (isiyo ya kumwagilia) sasa hivi bei ni 100/130 kwa mhindi mmoja shambani.
Kiongozi huko mashamba wanauzaje kwa hekaNilime mara ngapi mzee wiki ijayo natoa gobo ya mvua (isiyo ya kumwagilia) sasa hivi bei ni 100/130 kwa mhindi mmoja shambani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kununua bei inategemea na location kutoka mjini kati pia anaeuza mfano mwaka 2006 mimi nilinunua hekari 20 kwa millioni tatu maeneo ya njia ya kuelekea kiloloKiongozi huko mashamba wanauzaje kwa heka
Nenda Singida mkuu unaweza ukakosa pesa lkn ukafanikiwa kuoa toto la kiarabu lkn waarabu koko
Sent using IPhone X
Njoo kusini -mtwara kilimo ,na biashara utatoboa soon .. mi mwenyewe nimhanga samahani waweza acha mawasiliano mkuu?!! umenigusa sanaaπ€π€
#SISI NI TANZANIA MPYA
Nilime mara ngapi mzee wiki ijayo natoa gobo ya mvua (isiyo ya kumwagilia) sasa hivi bei ni 100/130 kwa mhindi mmoja shambani.
Hivi heka moja yaweza kuwa namahindi mangapi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeishia kucheka tu yaani...hawajui mnunuzi anjifpangiaga Bei...vihindi vidogo hatak .lol..ukijifanya unataka soko zuri two weeks to come kitu kinaanza kauka
Nenda Singida mkuu unaweza ukakosa pesa lkn ukafanikiwa kuoa toto la kiarabu lkn waarabu koko
Sent using IPhone X