Wakuu kuna watu wanajaribu sana kuisema Arusha kuwa maisha ya hapa yako juu
Ni kweli kuwa maisha ya hapa yako juu ila sio kihivyo sana
Ni namna ya kwako ya kuishi na kujipanga
Kweli maisha yako juu ila ukijipanga mambo yanaenda tuu
dah!!atleast morogoro.vp kuhusu dodoma na mwanza?
Naskia Hungumalwa bado mnajua nyerere ndo mkuu wa nchi. Nina shangazi yangu huko ame re-seat mtihani wa la saba mara 16 mpaka amepita kwa huruma ya baraza.
mkuu,arusha tuna investments zetu huko so mara nying napatembeleaga..napajua vzr,vitu viko ghali sana,huwezi pata rum ya maana chini ya buku 80.
Mkuu, kama unataka kuwa 'town' na bado ufurahie maisha cheap nenda fasta Mwanza.
Wadau wa MMU,naomba kuuliza,ivi hapa tanzania ni mkoa gani mzuri ambao atleast life liko cheap,ambapo mtu anae anza maisha let say na salary ya kuanzia 400k-600k anaweza kusurvive?
Mkuu Simiyu tena
Duh huuko hapana aise
Msimu wa ukame unakuwa ukame kweli
Na maji ni km 10 tena kw apunda tena ya kisima
Sema anawez apata pata samaki wa pale Magu mitaaya Lamadi hivi
mkuu,umeona eeh. pokea like 5...
Nenda ukaishi katika mikoa inayoyotwa Big Four, Morogoro, Iringa, Mbeya na Ruvuma watu wanalima sana na vitu bei cheee hasa ukiwa wilayani.